St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,634
- 4,519
Dah kweli mko makin naomba kusema kuwa mwanamke ana gharama kama ifuatavyo tukianza kwa kuangalia mwili wake 2
Kichwa
nywele zaitaji kwenda salon
nyusi zahtaj kutindwa na kupakwa wanja, kope mascolour, mdomo lipstik, sura poda na makeup, masikio heleni ziczopngua pair 2, puani kipini shingoni cheni kifuani cdiria, kitovu hele, kiunoni shanga, makalio chupi tena specil, k pad, mkononi bangli na saa kidolen pete, mguuni kikuku pete na kiatu. . . . Umenpata bro hapo cjaweka nguo hand bag hapo hamtoa out ucombe. . . . Vp hapo umekbali
Suti yangu..Hugo Boss..Euro 3000
Kiatu Not less than 500 Euros
Perfume Mexx Collection and New
Edition 007 kila moja si chini ya 200 Euros
Hujaongelea Silver niliyonayo kifuani lets say 2000 Euros..
Saa yangu Rado or Rolex Not Less than 3000.
Na hapo ukumbuke kila nilichoutajia sina kimoja,mfano suti tu
zipo karibia 25...Sasa unataka kunishawishi nini na huyo
mwanamke unayejaribu kuniambia ana gharama.Kama una watoto
wachukue watoto wako wa kike na wa kiume kisha nenda
ukawanunulie kiatu ujue uniambie ni kiatu kipi kitakuwa cha gharama kati ya yule wa kiume na wa kike.
Nimekwambia kabisa kama kunishawishi itakubidi ufanye kazi..