Jamani magari yaliojazana hapa mjini mengi yalikuwa yanatoka Dubai kisha UK nao watu wakaanza kuingiza na sasa naona watu wanazungumzia kuagiza gari wenyewe direct from Japan
sasa nauliza kama nataka gari kama Rav 4 au Prado au gari tuu yoyote kwa ujumla ni nunue wapi kati ya nchi hizo 3 ?
na sababu ni zipi?
sasa nauliza kama nataka gari kama Rav 4 au Prado au gari tuu yoyote kwa ujumla ni nunue wapi kati ya nchi hizo 3 ?
na sababu ni zipi?