master gland
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 198
- 60
Katika mtihani wa NECTA mwanafunzi alionekana kaachia kiti na meza na kuketi chini.Msimamizi wa mtihani akaenda na kumuuliza yule denti mbona hufanyi mtihani wako juu ya meza?
Kwa mshangao dogo akajibu Mwalimu hili swali tumeambiwa solve without using tables Hivyo nafuata taratibu za mtihani.
Mwalimu kusikia vile akashindwa kujizuia mbavu zake ni kicheko hadi akaharibu atmosphere ya darasa.
NAWASILISHA
Kwa mshangao dogo akajibu Mwalimu hili swali tumeambiwa solve without using tables Hivyo nafuata taratibu za mtihani.
Mwalimu kusikia vile akashindwa kujizuia mbavu zake ni kicheko hadi akaharibu atmosphere ya darasa.
NAWASILISHA