Chomsky
Member
- Jul 15, 2012
- 31
- 5
Mwalimu mmoja wa kike alikuwa darasani na wanafunzi wake na mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Mwalimu: We John unacheka nini?
John: Nimeona paja lako mwalimu!
Mwalimu: Huna adabu, toka na usirudi hapa hadi kesho!
Mwalimu: Na we Michael vipi?
Michael: Nimeona chupi yako mwalimu.
Mwalimu: Shenzi, toka na usirudi wiki nzima!
Mwalimu: Na we Fred unakwenda wapi? (Fred hakujibu badala yake aliendelea kusepa nje huku akiwaza kichwani)
Fred: Nikisema nilichokiona nadhani nitafukuzwa shule kabisa!
Je, Fred aliona nini?
Mwalimu: We John unacheka nini?
John: Nimeona paja lako mwalimu!
Mwalimu: Huna adabu, toka na usirudi hapa hadi kesho!
Mwalimu: Na we Michael vipi?
Michael: Nimeona chupi yako mwalimu.
Mwalimu: Shenzi, toka na usirudi wiki nzima!
Mwalimu: Na we Fred unakwenda wapi? (Fred hakujibu badala yake aliendelea kusepa nje huku akiwaza kichwani)
Fred: Nikisema nilichokiona nadhani nitafukuzwa shule kabisa!
Je, Fred aliona nini?