Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
tukiwakamata muwe na million kumi as faini la sivyo waweza kuingia jela kwa miaka hadi mitano
Be careful and what you wish...
Kama wewe magnifico ni mtu ambaye tunakujua usijifanye hatukufaha,u au nianze kutaja marafiki zako ndio ujue kuwa tunakujua..?? Be careful
Mkuu hiyo ni kila sehem ipo,mimi nipo sehem flani hapa Middle east na sisi tunatumia Al-jazeera sport kimagumashi tu,kwanza tulikuwa tunalipia sasa tunakula kitu live AL-jazeera na Abu dhabi Sport bureeee,wakibadili masafa jamaa wanajua tu,tuna update softwera tu kitu inashuka bureeee!!!!