Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
na alaaniwe! Traitor
Homie, huyu jamaa alivuruga sana harakati za demokrasi kwa kuwasaliti vijana wa Mwanga, Bangwe, Buzebazeba, Gungu, Majengo, Kibirizi na Ujiji. Sasa anavuna matunda ya usaliti wake, magamba walimtumia sasa wamemtelekeza.
Vijana wa KG walikesha kule ukumbi wa kuhesabu kura Bangwe kuhakikisha hakuna kura haziingizwi ukumbini wakati wa kuhesabu. Walipigwa na FFU kwa ajili yake, matokeo yake usaliti.
Historia ya Dk Kaburu hunifanya nisimuamini sana Zitto.