chechekali
Member
- Oct 18, 2010
- 33
- 14
Naomba tuwalinganishe hawa makatibu wa vyama hivi tuone nani zaidi kwa vigezo vifuatavyo:-
1:Kiutendaji
2:Ujenzi wa hoja
3:ufafanuzi wa hoja
4:Uwajibikaji
5:Usimamiaji wa haki za wanachama na taifa
6: Uwezekano wa kumsimamisha kugombea nafasi kubwa kama ya Uraisi
7:Uelewa wa katiba na sheria za nchi
8:Busara
9:Uzalendo
1:Kiutendaji
2:Ujenzi wa hoja
3:ufafanuzi wa hoja
4:Uwajibikaji
5:Usimamiaji wa haki za wanachama na taifa
6: Uwezekano wa kumsimamisha kugombea nafasi kubwa kama ya Uraisi
7:Uelewa wa katiba na sheria za nchi
8:Busara
9:Uzalendo