Mods thread kama hizi za personal attack muwe mnawai kuzi-delete, kwani watu wataishia kutukanana humu..
mbona JK akitukanwa hamsemi ni personal attack?
Mods thread kama hizi za personal attack muwe mnawai kuzi-delete, kwani watu wataishia kutukanana humu..
nimeamini jina langu la wakuziba lina uzito wake. kwanza nikishaziba, kuzibua hoja zangu ni shughuli nzito sana. pili lakabu yangu ya "mzee wa maneno yanayochoma nyoyo" ni mujarab na maridhawa kabisa! wengi wanaosoma makala zangu, huumizwa sana na ukweli wa maneno yangu. huwa uwezo wao hauwaruhusu kuzijibu kwa hoja. huishia ama kutukana au kukosa la kuandika! ASANTE MUNGU KWA KUNIPA UWEZO WA KIUCHAMBUZI NA KIMAONO!
Wakatabahu: wakuziba (mzee wa maneno yanayochoma nyoyo)
mbona JK akitukanwa hamsemi ni personal attack?
CCM bwana,mnajitahidi sana,lakini too late.
Propaganda hazina nafasi kwa watanzania,watanzania wanataka Tanzania aliyoiota mwl nyerere,ambayo ilitoa Elimu bure,huduma bure za Afya na huduma bora za kijamii bila kuchimba madini ,kusafirisha magogo na kutuibia wanyama wetu.
Chadema siyo Dr Slaa chadema ni Taasisi,kama taasisi inawashahuri katika nyanja zote,wewe ni nana?
Ndiyo maana wabunge wa CCM wanashindwa kujadili hoja za maendeleo wanabaki kuhariri hotuba za akina Lissu na Myika unaweza kuona ni kwa namna gani mmepoteza focus na direction.
Kwani mtoa sredi kakosea?
Ugoni unaisumbua CHADEMA nzima, achilia mbali Dr Slaa mwenyewe.
Na ndio maana nasema jamaa akitinga Ikulu 2015, masekretari wote hapo wakae chonjo, maana watakuwa na likizo za uzazi kila baada ya miezi tisa.
Wawe wameolewa au la!
Aikwa Padiri tu alitikisa nyavu, itakuwa huko Ikulu!!!!!!
Wewe si wakuziba bali unazibwa wewe na akili zako fupi.Soma au elewa kwamba waliitwa kwa simu wakakataa na ndipo wakawaandikia barua .Sasa penye barua ni ushahidi zaidi kuliko mwito wa simu na mtu staarabu akiitwa basi anaitikia wito they did it ubaya uko wapi wewe unaye zibwa ?
Mada kama hii ndio hapa ambapo CDM huwa wanatia saana huruma kwa kuonesha uwezo wao wa kufikiria na kukurupuka. Hamtaki Dr. Slaa akosolewe, mnataka asifiwe tu na kuonekana kwa yeye ndio Mungu wa kuwa Raisi. Kitu ambachi mnakosea ni kutaka kuonesha hana kasoro, au pale ambapo anaambiwa ukweli ambao upo wazi kabisa kwa jamii (kukana kuwa anaonewa na siasa taka!) Siasa taka zipo na zitaendelea kuwepo na hata akina slaa na JK wote hufanya thou kupitia channels tofauti.
Mnasahau kuwa Slaa ni binadamu, na madhaifu katika personal Lives kila mtu anayo na sio kigezo cha kumlaumu ama kumjudge. Bishaneni kwa hoja sio viroja as if anaewakilisha hapa ni mtu asio kuwa na utambuzi, wapo wasiokuwa na utambuzi hawana access na vitu kama mitandao, nyie wenye utambuzi na wawakilishi wa CDM na Dr Slaa tumieni huo utambuzi kuelewesha wale ambao mnadhani wana attak. Hii mada ukisoma haina ubaya wowote... wakuziba katoa hoja yake, mnaweza msiipende lakini kwa kiasi kikubwa ina Ukweli.
On top of it Josephine unakuja kusema hapa kwa hoja za kusema ni Propaganda. Wewe una nafasi kubwa sana kwa Chama na Dr. Slaa tokana na nafasi yako kama Mke wa Slaa. Unasema hizo hoja hapo juu ni uongo? Kwa nini usitumie njia ya kuwaelewesha ambao tayari wanaelewa na kujifanya hawaelewi hadi wakose hoja za kuongea? Hizi ndio siasa.. kuweni tayari kusifiwa na kukashifiwa pia. CDM inaweza kuwa ni Taasisi na si Dr. Slaa as per your say lakini kumbuka huyo Mzee tunamtegemea kwa kiasi kikubwa. Hoja inapotolewa na kukaribiana na Ukweli (au kuonekana ni kweli hali sio) tumieni hoja za msingi kuweza elewesha jamii na sio ubishi, ulalamishi ama majigambo. Then hapo tutafika.
Slaa ni flipflopper
Leo ninazidi kujidhihirishia Pro CHADEMA ni watu wanamna gani, yaani hawataki kuambiwa ukweli na wako radhi kukivunja kioo, kikiwaonyesha kwamba wana tongotongo machoni, yaani wenyewe hawataki kukosolewa sababu wanajiona wao wamekamilika na hata malaika kwao anasubiri sababu wao hawana mapungufu kabisa wakati Katibu wao mkuu
Dr. W. Slaa anawaonyesha kwa vitendo kwamba binadamu hatujakamilika ndio maana yeye alivunja amri ya 6 zaidi ya mara moja kipindi ambacho waliowengi walikua wanajua ni Padri na bado waumini wengi walikua wanakwenda kwake KUUNGAMA, wakati anayewaungamisha nae anatenda Dhambi, tena zaidi hata ya waumini wake kwa kuvunja amri za Mungu ikiwemo Kuzini wakati yeye yupo kwenye kiapo cha Upadri, na hata baada ya kuachana na Upadri bado aliendelea kuzini pasipo kufunga ndoa, kwa ufupi
Dr. Slaa alikua anaenda sambamba na mtoto wake wakike wa kumzaa kwa kufanya ngono zembe bila kinga kabla ya kufunga ndoa.
Sasa kwa kutambua mapungufu hayo wenye mapenzi mema Slaa wanaanzisha mijadala ya kumshauri ili tumshauri kwa pamoja aweze kujirudi na kusafisha nyota yake, cha ajabu wanaojiita wapenzi wa CHADEMA wanapuuza ushauri bila hata kumpa nafasi Dr. Slaa mwenyewe ya ama kukubali ama kukataa ushauri wetu, yaani wanchokifanya wao ni kuendelea kumwambia Dr. Slaa wewe huna tongotongo wala nini endelea kutuongoza kitu ambacho ni kosa kubwa na wanampotosha kwa kiwango kikubwa mwenzao na ndio maana anazidi kufanya makosa yale yale sababu washabiki wake hawataki kumwambia ukweli, bahati mbaya sana yeye Dr. Slaa bado yupo gizani hajajua kua wanaosema wanamkubali Dr. Slaa wa leo sio waliomkubali Dr Slaa wa 2010.
shame on you Pro CHADEMA
Mkuu umesema vyema sana na mimi nimejaribu kutoa darasa kwa wana chadema na Josephine kwenye comments zangu hapo juu, lakini hawa watu kila siku wanatuthibitishia kuwa wao ni Mabubu na Viziwi kwenye kila kinachoitwa ukweli dhidi ya CHADEMA na viongozi wao
nimeamini jina langu la wakuziba lina uzito wake. kwanza nikishaziba, kuzibua hoja zangu ni shughuli nzito sana. pili lakabu yangu ya "mzee wa maneno yanayochoma nyoyo" ni mujarab na maridhawa kabisa! wengi wanaosoma makala zangu, huumizwa sana na ukweli wa maneno yangu. huwa uwezo wao hauwaruhusu kuzijibu kwa hoja. huishia ama kutukana au kukosa la kuandika! ASANTE MUNGU KWA KUNIPA UWEZO WA KIUCHAMBUZI NA KIMAONO!
Wakatabahu: wakuziba (mzee wa maneno yanayochoma nyoyo)