Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Ya kwako na nani?
na wewe ambaye unalipa kodi
Ya kwako na nani?
Mkuu, ni rahisi kwa PAUL KAGAME kuwa Rais wa Afrika kuliko Dr SLAA kunusa harufu ya Ikulu
Ya kwako na nani?
Kura unapiga tu wewe na mamako.
Kura unapiga tu wewe na mamako.
analipwa mshahara wa shilingi 2.4M kwa mwezi
Malipo ya viongozi wa ccm ni haya...
-Mwenyekiti ml 10
-Katibu mkuu ml 8
-Makamu mwe/kiti ml 8
-Naibu katibu mkuu ml 7
-Katibu mwenezi ml 5!
Wanapeana mishahara huku wengine wakiwa viongozi! Kweli hii nchi mnaitafuna...
Malipo ya viongozi wa ccm ni haya...
-Mwenyekiti ml 10
-Katibu mkuu ml 8
-Makamu mwe/kiti ml 8
-Naibu katibu mkuu ml 7
-Katibu mwenezi ml 5!
Wanapeana mishahara huku wengine wakiwa viongozi! Kweli hii nchi mnaitafuna...
Ilipatika kwenye meno ya tembo?Ile milioni 140 yetu vipi?????
Kwanini asiachie 7.2 M anazolamba sasa hivi za wavuja jasho anasubiri ikulu? Ikulu ya wapi anayoota huyu babu?
Ile milioni 140 yetu vipi?????
WanaJF!
Huu ni moja ya usanii wa Dr Slaa katika siasa zake zilizo sheheni ulaghai kwa watanzania.
Dr Slaa ni kinara wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini wanao ongoza kwa kuwa na matumizi makubwa ya binafsi kupitia pesa za chama, iweje atoe ahadi kuwa eti mpaka afike Ikulu ndio apunguze matumizi?
Dr Slaa ni miongoni mwa wapiga kelele kuhusu anasa ya manunuzi magari ya kifahari aina ya shangingi (VX), ila jambo la kushangaza yeye ndiye mtoa pendekezo na msimamizi wa ununuaji magari ya aina ya shangingi baada ya chama kuongezewa ruzuku (hapa ana maanisha mashangingi ndio kipamumbele kwenye chama).
Dr Slaa amehadaa wana CHADEMA kwa kujifanya mbunifu wa mavuguvugu kama vile operesheni sangara, operesheni okoa kusini na huu mradi mpya M4C kwa kuaminisha watu kuwa operesheni hizi zitajenga chama na kukiimarisha, ila Dr Slaa amezibuni kwa lengo la kuombea misaada.
Kama Dr Slaa kweli hapendi anasa na kuteketeza pesa, kwanini yeye asishinikize kamati kuu ya chama kuachana na mpango wa Mbowe wa kufanya chama hicho kiwe kwenye nyumba ya kupanga milele, badala yake wafanye mpango wa ujenzi wa jengo la chama?
Dr Slaa hii nchi ina wenyewe![/QUOTE HAMY-D, hivi unafahamu kuwa Tangu tumepata uhuru kuna Wizara za CCM ambazo zimo katika majumba ya kupanga? Kama Chama ni chao, Serikali ni yao, na Pesa ni zao kwanini wasijenge?? Halafu unakuja kukishangaa chadema ambacho kinaishi kwa michango ya walala njaa!!
HAMMYD waulize magamba wenzio kilichowapata 2010 uchaguzi mkuu kama sio kusaidiwa na mfumo na zile kula za kafu basi rais anaetambulika ni dr slaa na ninakuhakikishia pasipo na shaka kwamba kura za urais dr slaa alishindaWanaJF!
Huu ni moja ya usanii wa Dr Slaa katika siasa zake zilizo sheheni ulaghai kwa watanzania.
Dr Slaa ni kinara wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini wanao ongoza kwa kuwa na matumizi makubwa ya binafsi kupitia pesa za chama, iweje atoe ahadi kuwa eti mpaka afike Ikulu ndio apunguze matumizi?
Dr Slaa ni miongoni mwa wapiga kelele kuhusu anasa ya manunuzi magari ya kifahari aina ya shangingi (VX), ila jambo la kushangaza yeye ndiye mtoa pendekezo na msimamizi wa ununuaji magari ya aina ya shangingi baada ya chama kuongezewa ruzuku (hapa ana maanisha mashangingi ndio kipamumbele kwenye chama).
Dr Slaa amehadaa wana CHADEMA kwa kujifanya mbunifu wa mavuguvugu kama vile operesheni sangara, operesheni okoa kusini na huu mradi mpya M4C kwa kuaminisha watu kuwa operesheni hizi zitajenga chama na kukiimarisha, ila Dr Slaa amezibuni kwa lengo la kuombea misaada.
Kama Dr Slaa kweli hapendi anasa na kuteketeza pesa, kwanini yeye asishinikize kamati kuu ya chama kuachana na mpango wa Mbowe wa kufanya chama hicho kiwe kwenye nyumba ya kupanga milele, badala yake wafanye mpango wa ujenzi wa jengo la chama?
Dr Slaa hii nchi ina wenyewe!
MLIPOFUKUZWA CHADEMA kwa kuanzisha kundi la MASALIA umeenda CCM na ile ajenda yenu ya kumtukana DR ili mabwana zenu wawape VYEO na umesikika ukiwaambia watu kuwa bado kidogo wewe na mwenzio mtateuliwa kuwa WAKUU WA WILAYA. ENDELEENI KUJA NA ID 10 per day ili MWIGURU awapromote.