Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Ndugu wanaJF, nimepata taarifa muda c mrefu kuwa mh. Rais wetu wa moyo Dr. Slaa na Mwenyekiti Jembe wa CDM mh. Mbowe nao hawapo nyuma, wapo pamoja na watanzania wenzetu waliopo ktk safari kuelekea loliondo kwa Babu, kushuhudia na kujumuika pamoja na watz wengine ktk Utoaji wa tiba mbadala ya toka kwa Babu. Binafsi nawapongeza kwa kuthamini hisia za watanzania, naungana na wale wanaolaani kitendo cha serikali kusitisha zoezi kwa madai ya uchunguzi wa dawa, KAMA WAGONJWA WANAKIRI KUPONA NADHANI HAKUNA HAJA YA KUWANYIMA MATIBABU, Hongereni DR. SLAA NA MWENYEKITI MBOWE KWA KUFUNGA SAFARI, DHAMILA YENU NI CHACHU YA UZALENDO KWA WANANCHI NA TAIFA KWA UJUMLA.