Dr Slaa na Augustino Mrema

TUKUTUKU

JF-Expert Member
Sep 14, 2010
11,765
4,033
kwa wale wana jf waliokuwepo na kushuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka 1995,ambapo Mrema alikuwa tishio kubwa kwa CCM,mpaka ikafika wakati baba wa taifa mwalimu Nyerere aliamua kuingilia kati na kumnadi Mkapa, akihofia Mrema kushinda uchaguzi.Kwa sasa Dr Slaa ni tishio kubwa kwa CCM,na kama CCM hawatakuwa makini Dr Slaa anaweza kushinda uchaguzi.
Swali kwa wana JF,yupi kati ya Dr Slaa na Mrema wa 1995 ni maarufu na tishio zaidi kwa CCM?
 
Mwaka 1995 Mrema alikuwa ni tishio zaidi, ila tofauti na leo ni kuwa mwaka huo kulikuwa na mtu anayeitwa Nyerere, na mgombea wa CCM wakati huo Mkapa alikuwa ni mtu mpya kabisa na hakukuwa na rekodi yoyote ya kumhusisha na rushwa. Hivyo Nyerere akatumia kigezo hicho cha mkapa kuwa Clean, na uwezo wake binafsi wa kushawishi, na matumizi ya mabavu kidogo kuirudisha CCM madarakani. Leo hii kitu kilichopo ni mabavu tu, hakuna Mr clean, hakuna Nyerere na mbaya zaid ni kuwa leo hii watu wana maumivu makubwa sana ya kiuchumi kuliko ilivyokuwa mwaka huo wa 1995 hasa baada ya wageni na watu wachache wa CCM kuwa wanatesa sana mitaani ilihali wananchi wengi wanashindia mlo mmoja.
 
Leo hii familia ya JK ndo imetelekezwa kufanya kazi ya Nyerere.
Just imagine kuna mafanikio apo kwa CCM?
 
kwa wale wana jf waliokuwepo na kushuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka 1995,ambapo Mrema alikuwa tishio kubwa kwa CCM,mpaka ikafika wakati baba wa taifa mwalimu Nyerere aliamua kuingilia kati na kumnadi Mkapa, akihofia Mrema kushinda uchaguzi.Kwa sasa Dr Slaa ni tishio kubwa kwa CCM,na kama CCM hawatakuwa makini Dr Slaa anaweza kushinda uchaguzi.
Swali kwa wana JF,yupi kati ya Dr Slaa na Mrema wa 1995 ni maarufu na tishio zaidi kwa CCM?
Usingizi na kifo.....
 
Hivi Mfano Nyerere akifufuka atasimama jukwaani kuwa ambia watanzania Wapigieni CCM kura?
 
Hivi Mfano Nyerere akifufuka atasimama jukwaani kuwa ambia watanzania Wapigieni CCM kura?

Akifufuka atakufa tena baada ya muda mfupi kwa hali ilivyo mbaya ndani ya CCM, kwa hiyo muda wa kuwaambia watanzania chochote hautakuwepo!!
 
Mwaka 1995 Mrema alikuwa ni tishio zaidi, ila tofauti na leo ni kuwa mwaka huo kulikuwa na mtu anayeitwa Nyerere, na mgombea wa CCM wakati huo Mkapa alikuwa ni mtu mpya kabisa na hakukuwa na rekodi yoyote ya kumhusisha na rushwa. Hivyo Nyerere akatumia kigezo hicho cha mkapa kuwa Clean, na uwezo wake binafsi wa kushawishi, na matumizi ya mabavu kidogo kuirudisha CCM madarakani. Leo hii kitu kilichopo ni mabavu tu, hakuna Mr clean, hakuna Nyerere na mbaya zaid ni kuwa leo hii watu wana maumivu makubwa sana ya kiuchumi kuliko ilivyokuwa mwaka huo wa 1995 hasa baada ya wageni na watu wachache wa CCM kuwa wanatesa sana mitaani ilihali wananchi wengi wanashindia mlo mmoja.

Well said mkuu, nimekugongea
 
Back
Top Bottom