Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,980
- 13,633
Ukimwona Dr anavyoishika mic, kwa mkono wake wa kushoto, ambao aliumia mwanzoni mwa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010, utagundua mkono wake haujarudia katika hali ya kawaida.
Napata shaka na matibabu aliyopewa dr, haiwezekani kwa muda wote huo bado ashindwe kushika kitu vizuri. Au mkono umepata ulemavu?...kiukweli, dr mkono wa dr bd haujawa normal!
Napata shaka na matibabu aliyopewa dr, haiwezekani kwa muda wote huo bado ashindwe kushika kitu vizuri. Au mkono umepata ulemavu?...kiukweli, dr mkono wa dr bd haujawa normal!