Elections 2010 Dr.Slaa kutoongea na waandishi wa habari kesho jumapili

Hayo ni mawazo unahaki ya kusema.
Lakini kumwambia Dr Slaa anachochea Kuni motoni ni uzandiki wa Ki CCM.

Kimkakati Dr Slaa haendi hivyo kwa sbabu huu si mpambano wo wa siku mbili ni mpambano wa masafa marefu.
Naomba ufunge mkanda kabisaa kwani unaweza usihimili vishindo safari ndi ndefu sana.

Kachochea kuni kwa sababu hakuhudhuria utangazaji wa mshindi?? Are you kidding me??

Hayo maswali yako yote manne ni cha mtoto cha mtoto.Dr Slaa ayajibu ili iwe nini??

Wafuasi na wanachama waliomchagua Dr Slaa hawana Mukuli wametulia wewe unawashwa na picha za pilipili mtandaooni.
Dr Slaa amekataa matokeo na kuwaachia wafu wawazike wafu wao sasa mlitaka ahudhurie ili kuongeza kiwingu na mlindimo mbona ingekuwa aibu kabisa kwa Mgonjwa wenu?

Woti izi baiting yuu mai frendi???
 
mi nlisema mkaniona mi CCM........ hataweza kujitokeza hadharani...jamaa anadai mke wake na watoto wake...(WATOTO WANAMWITA SLAA ANKO).... shughuli imepata mwenyewe
 
La muhimu tuwe na subira na muda ukifika Slaa atawajulisha hicho wanachopanga Suala la mke wa mtu naona ni la binafsi zaidi
 
katika facebook yake,Dr Salaa ameandika hivi:
Tunaulizwa kwaninii hatukushiriki kutangazwa au kuapishwa kwa JK

Tungeweza vipi kuhudhuria kutangazwa kwa mshindi au kuapishwa kwa Rais ambaye ametangazwa katika mazingira ya wasiwasi na mchakato mzima? Hatuna tatizo binafsi na Kikwete au hata yeye kuwa Rais, tatizo letu la msingi kabisa ni kuwa mchakato wa utangazaji matokeo ulikuwa mbovu sana kutishia kuaminika kwa matokeo hayo. Kama Kikwete angeshinda kwa asilimia 99 au asilimia 50.01 kwenye mchakato ulio huru, wazi na wa haki tusingelalamika kabisa.

Hivyo, kama tungeshiriki kama watu wanavyopendekeza na kukumbatiana kama walivyofanya wengine tungekuwa tumetuma ujumbe kuwa hatuna matatizo na mchakato mzima wa matokeo. Tungehalalisha vitendo vya tume na watumishi wake kuvuruga uchaguzi.

Tulipanga kuzungumza na waandishi kesho, lakini imeahirishwa kwani kuna mchakato unaoendelea na ambao tunataka kuona utafikia wapi. Tunawasihi wanachama, mashabiki na wapenzi wetu waendelee kutulia wakati huu ili kutupa nafasi ya kuandaa mpango mzuri wa mwitikio wetu.

asanteni.
mbona hii habari imekaa kishabiki, unaweza kutupatia link ya wapi umetoa haya maneno? maana info kama hii yapaswa kuwa official...
 
The problem is we are leading and responding emotionally, George W. Bush worn election with some irregularlities. However, he came out publicly and declared it that it is over "let it go"; in African countries mmm election extend from one to another and even when you are less than 1/3 of votes you still believe you deserved to be declared as a winner....

Any the election is over and Dr. Slaa is no longer presidential candidate...he is just a mere CHADEMA secretary general, so whatever come should be in those lines.

Please do not make environments for eager, young, competent, active CHADEMA MPs seen as they are not thankful to their voters... let them... also you need to recognise the 26.7% votes you got...
 
We are waiting for your say mkuu.

Kama kuna mchakato unaendelea, ni vema maana si vizuri kukimbilia kuongea na wanahabari kama kuna mambo bado yanafanyiwa kazi.

We are ready when you are!
 
Dr Slaa kumbuka unachochea kuni wakati moto unawaka, ulipaswa kuongea na wanachi wako muda huu, kuna maswali mengi yalikuwa yanaihitaji majibu kutoka kwako hasa kipindi hiki, maana baada ya muda utakachoongea kitakuwa hakina nguvu tena
1) kwa nini hukuhudhuria utangazaji wa Mshindi
2) kwa nini hukuhudhuria sherehe ya kuapishwa JK
3) Nini maoni na misimamo yako na Chadema kwa ujumla kuhusu uchaguzi uliopita
4) wanachama na wapenzi wa Chadema tufanye nini?

Nadhani huo ni msimamo wako na siyo wa wanaCHADEMA wote wala watanzania waliomuunga mkono Dr. Slaa kwa kumpa kura. So kama kiongozi wetu, tunaheshimu maamuzi anayochukua na tuko tayari wakati wowote atakapoongea nasi. Pamoja na kuwa uchaguzi unaweza usirudiwe kwa mijibu wa katiba ya sasa ya Tanzania lakini lolote atakalotwambia kiongozi wetu ndilo hilo tutakalofanya kwa sababu tunamwamini na bado tunamhitaji.

Hata kama ushindi amepokonywa, bado ana kazi kubwa ya kuwakomboa watanzania kifikra.

CHADEMA OYEE
 
Dr Slaa kumbuka unachochea kuni wakati moto unawaka, ulipaswa kuongea na wanachi wako muda huu, kuna maswali mengi yalikuwa yanaihitaji majibu kutoka kwako hasa kipindi hiki, maana baada ya muda utakachoongea kitakuwa hakina nguvu tena
1) kwa nini hukuhudhuria utangazaji wa Mshindi
2) kwa nini hukuhudhuria sherehe ya kuapishwa JK
3) Nini maoni na misimamo yako na Chadema kwa ujumla kuhusu uchaguzi uliopita
4) wanachama na wapenzi wa Chadema tufanye nini?

Cool please
 
Nina swali
kwa nini serikali inamwogopa sana dr. slaa???????
tunahitaji watu kama slaa zaidi ya kumi hivi ili jeikei na gang wakome.

Hivi kwa nini walitupigisha kura wakati wanajua wataiba???
 
Veri gudi Mr presda wa CHADEMA, ce wanaharakati tupo uwanjani na full jezi tunasubiri kipenga chako cha mwisho ili 2anze mapambano.. Fanya wela ili mambo yawe fasta kabla mambo hawajayachakachua for other tym.. We love u.....
 
katika facebook yake,Dr Salaa ameandika hivi:
Tunaulizwa kwaninii hatukushiriki kutangazwa au kuapishwa kwa JK

Tungeweza vipi kuhudhuria kutangazwa kwa mshindi au kuapishwa kwa Rais ambaye ametangazwa katika mazingira ya wasiwasi na mchakato mzima? Hatuna tatizo binafsi na Kikwete au hata yeye kuwa Rais, tatizo letu la msingi kabisa ni kuwa mchakato wa utangazaji matokeo ulikuwa mbovu sana kutishia kuaminika kwa matokeo hayo. Kama Kikwete angeshinda kwa asilimia 99 au asilimia 50.01 kwenye mchakato ulio huru, wazi na wa haki tusingelalamika kabisa.

Hivyo, kama tungeshiriki kama watu wanavyopendekeza na kukumbatiana kama walivyofanya wengine tungekuwa tumetuma ujumbe kuwa hatuna matatizo na mchakato mzima wa matokeo. Tungehalalisha vitendo vya tume na watumishi wake kuvuruga uchaguzi.

Tulipanga kuzungumza na waandishi kesho, lakini imeahirishwa kwani kuna mchakato unaoendelea na ambao tunataka kuona utafikia wapi. Tunawasihi wanachama, mashabiki na wapenzi wetu waendelee kutulia wakati huu ili kutupa nafasi ya kuandaa mpango mzuri wa mwitikio wetu.

asanteni.

THAT IS WHAT I AM TALKING ABOUT...halafu Mkalamba mmoja akanibishia kwenye Uzi mwingine! Kukumbatiana na kushikana mikono na mtu ambaye unajua ni mwizi wako na una dukuduku naye Moyoni ni Unafiki and our Good Dr SILAHA is above that. kama mbwai mbwai tu mpaka kieleweke!

 
dr wakati ukiendelea kuungana na watanzania kuugulia kuibiwa kwa kura zetu wabunge wako wa viti maalum wanaugua ugonjwa wa sintofahamu kwani hawajui wanaenda mjengoni au la pls watangazie wajue namba zao
 
mi nlisema mkaniona mi CCM........ hataweza kujitokeza hadharani...jamaa anadai mke wake na watoto wake...(WATOTO WANAMWITA SLAA ANKO).... shughuli imepata mwenyewe

Hii itawasumbua sana sana kwa akili zenu za ubishoo.
Ukinunua gari mpya mpaka umpe mwanao akalingishie wazee wenzio woote.
Kila jambo likitokea kwenu kipimo cha ufanisi ni kiasi gani mtaliza makalio yenu mbwaaataaa! yakusikika nchi nzima
Wake zenu wakinunua gagulo mpya ni lazima wazivae mlegezeo ili kila njemba ione ikiwa ni pamoja na vijust.Aibu yetu wote
Mnaleta Ubishoo na UHillsider mambo 2nd year enzi zileee Mlimani Univ. Masikini hamkui akili mnakua mafuvu ya vichwa Mashavu Midomo na makalio.

Umeacha main Topic kwa vile ni Fupa alolishindwa Fisi, unalenga personal issue zenye kujaa chumvi ambazo tusema tuwaweke Viongozi wa CCM hapa tuwajadili katika dulu hizo watakaa uchhi wa mnyama mbele za wakwe zao. Mlete Kikwete hapa Mlete Makamba Mlete January hapa. Leta Baraza lote la mawaziri wake kwa waume hakuna hata mmoja atabaki kavaa nguo.
Una nyumba ya Vioo usianze kurusha mawe.
 
Back
Top Bottom