Sasa hivi hawawezi kusema kwa kuwa wanachokisema ndo tunakifanyia kazi - jamii inabadilika.Oooh!Chadema ni chama cha msimu(by Jakaya Kikwete)ooh! Chadema ni vifaranga(by Mkapa)ooh!Chadema chama cha kidini(,,,,,______),Leo imekuwaje?Ccm kwa ngonjera nnawaaminia sijui ni nani anawatungia.Chadema mwendo mdundo kiboko ya mafisadi,wananchi Watanzania wenzangu tuijenge nchi yetu kwa umoja.
mpaka dakika hii hakuna update ya maana kaka inamaana hunajipya la kuapdate mpaka sasa uko makini kweli wewe
Hebu tulieni, update mtaletewa kwani mnafikiri amesombwa na malori ya Magamba? hamjui kuwa ni Wanaukombozi wanaufuta wenyewe mkutano sio mkutano unafuata watu kwa kulazimisha kama wa Magamba. Tulieeni bado yupo njiani anaelekea kwenye mkutano. update zinakuja