Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Kweli Watoto wa siku hizi, nakulipia Ada yote una soma mwisho unanifanyia hivi, nitaanza upelelezi wangu kujua kwa nini wasira anakosana na Watoto wake, katika research yangu kwenye Eneo la research hypothesis naweka muktadha wa wasira kuwa na mwnamke mwingine aliyekuwa mke wa marehemu ndege na hivyo pesa zote za familia kueleka huko hivyo Watoto hawana kitu home, hii ni hypothesis tu subiri utafiti.
phd .
Hii sio hypothesis bali ni utabiri wa nyota. Kama ingekuwa intellectual guess ni bora ungeishia na huyo mke wa ndege