OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,937
Hayo wala sio makubwa mbona?!
1.Alisema chagua kiongozi msafi na asiye na kashfa kama lowassa na hakusema uchague wa CCM
2.Dkt Slaa hajakimbia na amekwenda mapumzikoni kwa siku kadhaa kwa ajili ya usalama wake.
3.Hajahama,Hajakimbia nchi na atarudi nchini siku chache zijazo kuendelea na mambo yake na haina maana mtu ukisafiri basi hautorudi tena nyumbani,atarudi na kura atapiga!!
dr. ameshasepa
hii inadhihirisha wazi upinzani hawakujiandaa kuchukua dola maana kutangaza mgombea walisuasua hadi walipompata lowassa pili hata kampeni zao ni kama za kuvizia hivi wanasubiri ccm wapite ili wao waje kujisafisha na kote wanskopita hakuna hoja ya msingi inayotolewa,,
Yote yawezekana,je na zile fujo alizoziratibu MASABURI,tuziongeleeje??HAziendani na toleo la juzi??
Hakuna kitu kibaya kama siasa za MAJI TAKA hazitupeleki kokote watanzania kama TAIFA,tunaowaona ni bora wamelifyonza TAIFA kwa miaka 54,tupo masikini wakutupwa,je ni kweli TATIZO ni RICHMOND tu??Mbona mengine hatuelezwi??ESCROW,nyumba za serikali,mabehewa mabovu,meli ya 1978??Hivi mwizi nihuyu mmoja tu??
Siyo Pro-Lowassa lakini napenda kujiuliza maswali mengi ambayo kwa uhakika sijapata majibu.
Tupo kwenye uchaguzi,huyo Lowassa mahakam zimemsafisha,2010 JK alimsafisha kwamba hana hatia kabisa MSAFI mno,kwanini iwe leo??Kuna nini nyuma ya pazia??
Ninawasiwasi tunaenda kupigia kura CHUKI za watu wawili waliokuwa MARAFIKI sasa wamekuwa MAHASIMU.Ni bora tusipige kura kabisa.
Mbona hiyo imeshajulikana na Video ya CCTV imeshavuja Akiwa na Usalama wa Taifa wakati akikutana Na Mwakyembe
Mi maswali yangu ni matatu tu makubwa kwa Dr. Slaa kama kweli ana uchungu na watanzania:-
- Anasema EL ni mchafu hafai kuwa Rais, je watanzania malofa wamchague nani? Je tuichague tena CCM?
- Baada ya Press conference yake, kwanini anawakimbia watanzania? Je amechoka kula mihogo au anakimbia kujibu hoja za upande wa pili?
- Amekuwa akihimiza watu kupiga kura, haoni aibu yeye kukimbia nchi bila kupiga kura kipindi hiki muhimu cha kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini? Ina maanahaelewi usemi wa "kura yako moja ni muhimu sana, kapige kura"
hii inadhihirisha wazi upinzani hawakujiandaa kuchukua dola maana kutangaza mgombea walisuasua hadi walipompata lowassa pili hata kampeni zao ni kama za kuvizia hivi wanasubiri ccm wapite ili wao waje kujisafisha na kote wanskopita hakuna hoja ya msingi inayotolewa,,
Hata afanyaje sisi na Lowassa tu......