STDVII
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 1,617
- 669
Maskini Doctor amekuwa kama mtoto mdogo, hata kama hana la kusema anaamriwa tu na wanaomtuma kuwa nenda kaseme hiki au kile. Hana tena maamuzi ya kukaa kimya au kuongea kwani uhuru wake alikwishauuza siku nyingi.
Dr Slaa yuko vizuri huwezi kumlinganisha na yule Mshenga Mzee wa Misukule mnayemtegemea.
Busara kaeni nae muombeni Radhi