Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
- Thread starter
- #41
Kibo10. Kuna mawazo mchanganyiko hapa na wenye hekima wataamua kwa uhalisia. Kuna baadhi ya vyombo visivyoaminika vinasema mwenyekiti wenu kanunuliwa, na hilo ulotaka kusema wewe kwamba Dr Slaa huenda kapewa kitu na ccm sintaliamini.
Kwa kuwa Dr. Slaa yupo naamini si muda mrefu ujao tutajua ukweli wa mambo haya. Hekima pia ni kunyamaza kuliko kumshambulia mtu with no evidence.
Mbowe amempokea EL kwa kushirikisha chama,Dr anakataa maamuzi ya chama na kamati kuu
We kwa akili ya kawaida nani kavutiwa hapo?