Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,841
Dr Slaa hakuzaliwa wala kukulia Chadema.Naye alikaribishwa kama mwenzie lowassa Na hakuna aliyepinga kupokelewa kwake hata kidogo.Chadema walienda mbali zaidi na kumpa dhamana ya kuwa Katibu mkuu wa chama.
Nikiwa kama mwanachama hai wa Chadema niliyezaliwa na kukulia ndani ya chama hiki,Nasema"Endapo Dr slaa atakigeuka chama wakati huu mzuri tukiwa tunahitaji mabadiliko na fikra mpya.Atakuwa ndio adui wangu namba moja wa siasa za mabadiliko tanzania tunazozililia kwa miaka 20 sasa.
Dr Slaa ni nani hata apingane na wengi,Tena kamati kuu ya chama?
Dr Slaa ni nani apingane na nguvu kubwa ya mabadiliko na ukombozi wa kiuchumi?
Bila shaka nipo tayari kuamini ipo nguvu kubwa toka chama tawala inayomshawishi Dr kufanya haya kwa masilahi yake na yao binafsi.Na si wengine ni Ccm,Baada ya muungano wa Ukawa walikosa usingizi na sasa rasilimali zao zote zikiwemo rasilimali fedha na watu wameziamishia kwa Dr ilimradi tu ndoto hizi njema zisitime.
Sipo tayari na naomba wana Chadema wote tuungane kwa hili.
Na kama Dr atatusaliti tumwainishe katika maadui wakubwa kati ya wale maadui aliowataja mwalimu Nyerere.
Maradhi,Ujinga na Umasikini adui wa nne tutamwongeza Dr Slaa asiposikia vilio vya wapenda mabadiliko.
Napenda nichukuwe furusa hii kumuliza maswali mawili tu katibu wangu mkuu Dr slaa.
Je,Dr Slaa kama Lowassa angejiunga na Chadema na wewe ukabaki ndiye mgombea wetu wa Urais October ungesusa ujio wake?
Au umesusa baada ya Lowassa kupendekezwa kupeperusha bendera na wewe kuachwa?
Jibu maswali hayo mawili,Mengine yote tutakuvumilia
Nikiwa kama mwanachama hai wa Chadema niliyezaliwa na kukulia ndani ya chama hiki,Nasema"Endapo Dr slaa atakigeuka chama wakati huu mzuri tukiwa tunahitaji mabadiliko na fikra mpya.Atakuwa ndio adui wangu namba moja wa siasa za mabadiliko tanzania tunazozililia kwa miaka 20 sasa.
Dr Slaa ni nani hata apingane na wengi,Tena kamati kuu ya chama?
Dr Slaa ni nani apingane na nguvu kubwa ya mabadiliko na ukombozi wa kiuchumi?
Bila shaka nipo tayari kuamini ipo nguvu kubwa toka chama tawala inayomshawishi Dr kufanya haya kwa masilahi yake na yao binafsi.Na si wengine ni Ccm,Baada ya muungano wa Ukawa walikosa usingizi na sasa rasilimali zao zote zikiwemo rasilimali fedha na watu wameziamishia kwa Dr ilimradi tu ndoto hizi njema zisitime.
Sipo tayari na naomba wana Chadema wote tuungane kwa hili.
Na kama Dr atatusaliti tumwainishe katika maadui wakubwa kati ya wale maadui aliowataja mwalimu Nyerere.
Maradhi,Ujinga na Umasikini adui wa nne tutamwongeza Dr Slaa asiposikia vilio vya wapenda mabadiliko.
Napenda nichukuwe furusa hii kumuliza maswali mawili tu katibu wangu mkuu Dr slaa.
Je,Dr Slaa kama Lowassa angejiunga na Chadema na wewe ukabaki ndiye mgombea wetu wa Urais October ungesusa ujio wake?
Au umesusa baada ya Lowassa kupendekezwa kupeperusha bendera na wewe kuachwa?
Jibu maswali hayo mawili,Mengine yote tutakuvumilia