Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Dr Slaa amesema kupitia mahojiano yaliyonukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari leo kuwa maandamano nchi nzima yapo na yatatumiwa na wananchi kama njia ya kudai kura zao zilizoibiwa na CCM na JK. Yatatumika kudai mfumo bora ili wapiga kura wasiendelee kuibiwa kura zao. Njia ya maandamano ambayo ni People power itatumika kama njia za awali za majadiliano zitashindikana kupata ufumbuzi wa wizi wa kura za wananchi.
My take: CCM wana kawaida ya kuafiki majadiliano halafu wanapiga danadana. Wanaweza kufanay usanii katika majadiliano hadi uchaguzi wa mwaka 2015 huu hapa. Kwa hiyo ni vema CHADEMA wasikawie kumaliza hizo njia zingine ili people power ifanye kazi yake kudai kura za wananchi. Inafaa ufumbuzi uwe umepatikana si zaidi ya miezi miwili kuanzia leo tarehe 18.11.2010.
My take: CCM wana kawaida ya kuafiki majadiliano halafu wanapiga danadana. Wanaweza kufanay usanii katika majadiliano hadi uchaguzi wa mwaka 2015 huu hapa. Kwa hiyo ni vema CHADEMA wasikawie kumaliza hizo njia zingine ili people power ifanye kazi yake kudai kura za wananchi. Inafaa ufumbuzi uwe umepatikana si zaidi ya miezi miwili kuanzia leo tarehe 18.11.2010.