Jamani ugopeni sana mtu aliyeweka kiapo lakini baadaye akaasi kiapo hicho. Yaani hiyo dhambi ya Kumuasi Mungu ndio inayomtafuna na anataka kutuambukiza UASI na litimie lile la kumwaga damu.
Watakapo andamana akae mbele ili damu yake ndio imwagike ya kwanza akiingia hiyo IKULU akajitibu na siyo kuacha wananchi wakiwa vilema eti apate kiti ikulu. Dhambi ya UASI bado hajatubu kaanza kwa kumuasi mke wake wa kwanza sasa anawaambukiza wanachama.
Fungeni tumuombe toba ya kweli kwa Mungu ni mwingi wa REHEMA na atunusuru na hili.
Watakapo andamana akae mbele ili damu yake ndio imwagike ya kwanza akiingia hiyo IKULU akajitibu na siyo kuacha wananchi wakiwa vilema eti apate kiti ikulu. Dhambi ya UASI bado hajatubu kaanza kwa kumuasi mke wake wa kwanza sasa anawaambukiza wanachama.
Fungeni tumuombe toba ya kweli kwa Mungu ni mwingi wa REHEMA na atunusuru na hili.