Elections 2010 Dr Slaa aranda randa kwenye anga la Dodoma: saa 9 alasiri kuwasha moto!!!

minda

JF-Expert Member
Oct 2, 2009
1,068
65
sasa ninapotuma hii post, helkopta ya dr WS inarandaranda juu ya jiji la Idodomya na majira ya saa 9 mchana dr WS atahutubia umati wa watanzania kupitia viwanja vya barafu vinavyopakana na uwanja wa jamhuri; uwanja uliojengwa na mlipa kodi wa tanzania na kuhodhiwa na ccm.



kwa mkuu yeyote atakayekuwepo pande za hapo Barafu atutaarifu zaidi.


28 oktoba, 2010-ufafanuzi: dk slaa amenisafisha!!!

post hii nilipoituma tarehe 1 septemba, 2010, wakuu wengi mlinilaumu kwa kutoleta ya uhakika kama michango mingine inayosomeka hapa chini. hatimaye jana dk ws amenisafisha kwa kuomba radhi kwa wakazi wa dodoma kwa kuja kujionesha tu siku hiyo angani, lakini akaishia kutofika kutokana na tatizo la kiufundi la helkopta yake. hivyo taarifa yangu ilikuwa sahihi!!!!!!!!!
 
sasa ninapotuma hii post, helkopta ya dr WS inarandaranda juu ya jiji la Idodomya na majira ya saa 9 mchana dr WS atahutubia umati wa watanzania kupitia viwanja vya barafu vinavyopakana na uwanja wa jamhuri; uwanja uliojengwa na mlipa kodi wa tanzania na kuhodhiwa na ccm.

kwa mkuu yeyote atakayekuwepo pande za hapo Barafu atutaarifu zaidi.

Minda hiyo ni habari njema sana.

Tutafurahi kama kutakuwa na uwezekano wa kupata live update!
 
Wadodoma tunaomba update yatakayo jiri mkutanoni maana vyombo vyetu vya habari hawakawii kuchakachua habari
 
Mitambo ya TBC huwa inakuwa na matatizo ya kiufundi kutoa habari za Dr Slaa hivyo ni muhimu tupate mwanaJF aliye fasta kutoa updates kama alivyofanya Superman siku ya ufunguzi wa kampeni Jangwani.
 
TBC Maana yake ni Tangaza Bora CCM ni shirikala upande mmoja tumeishaona kama unataka kuamini angalia kipindi chao cha magazeti wao wanatangaza habari za CCm huwa kuna habari za CHADEMA lakini wanaziruka kwa makusudi na ukiona wametangaza mkutano wa CHADEMA wanachukua picha jukwaani na hata hawaonyeshi upande wa wasikilizaji. Ni shirika linalofaa kuitwa TANGAZA BORA CCM na si vinginevyo
 
Asante Mkuu kwa ufafanuzi wa TANGAZA BORA CCM aka TBC......:becky::becky::becky:
 
Jamani kulikoni Dodoma? Tuko matumbo moto mlio nyumbani tujuzeni yanayojiri. Tunaomba updates jamani.
 
Mitambo ya TBC huwa inakuwa na matatizo ya kiufundi kutoa habari za Dr Slaa hivyo ni muhimu tupate mwanaJF aliye fasta kutoa updates kama alivyofanya Superman siku ya ufunguzi wa kampeni Jangwani.

Kamanda tupo pamoja.

Kama kuna mwana JF yeyote yuko tayari kuambatana na JK, WS na IL ili awe anaposti live update, niko tyari kuchangia gharama.
 
mkutano umeahirishwa kwani mpaka saa 11.30 jioni WS hajatokea kama ilivyotangazwa jana usiku na leo asubuhi. chadema hawajatangaza rasmi kinachoendelea lakini habari zilizopo ni kwamba kwa sasa WS yupo jimboni mtera kummaliza kabisa malecela, akitokea jimbo la kibakwe. hapa uwanja wa barafu sasa kuna mdahalo kati ya waislam na wakristo ambayo imeanza kuleta sintofahamu ya mizengwe. kwa kuwa chadema hawajasema kitu, hebu tusubiri tuone.
 
sasa ninapotuma hii post, helkopta ya dr WS inarandaranda juu ya jiji la Idodomya na majira ya saa 9 mchana dr WS atahutubia umati wa watanzania kupitia viwanja vya barafu vinavyopakana na uwanja wa jamhuri; uwanja uliojengwa na mlipa kodi wa tanzania na kuhodhiwa na ccm.
kwa mkuu yeyote atakayekuwepo pande za hapo Barafu atutaarifu zaidi.

mkutano umeahirishwa kwani mpaka saa 11.30 jioni WS hajatokea kama ilivyotangazwa jana usiku na leo asubuhi. chadema hawajatangaza rasmi kinachoendelea lakini habari zilizopo ni kwamba kwa sasa WS yupo jimboni mtera kummaliza kabisa malecela, akitokea jimbo la kibakwe. hapa uwanja wa barafu sasa kuna mdahalo kati ya waislam na wakristo ambayo imeanza kuleta sintofahamu ya mizengwe. kwa kuwa chadema hawajasema kitu, hebu tusubiri tuone.
Wewe ndiyo mwenye thread hii ulituambia umeona helkopita iki randa randa sasa unataka kutuambia nini, wao wako sahihi wanafuata ratiba wewe unataka kuwachanganya watu. Check ratiba yao....

28-Aug J. Mosi DAR Ilala Jangwani
MOROGORO
30-Aug J. Tatu Mvomero Mikumi
DODOMA
31-Aug J. Nne Mtera
Kibakwe
01-Sep J. Tano Chilonwa
Kiteto
02-Sep Alhamisi Kondoa Kaskazini
MANYARA Babati Mjini
03-Sep Ijumaa Mbulu
Hanang
04-Sep J. Mosi SINGIDA Singida Mashariki

Manyoni Magharibi
 
Wewe ndiyo mwenye thread hii ulituambia umeona helkopita iki randa randa sasa unataka kutuambia nini, wao wako sahihi wanafuata ratiba wewe unataka kuwachanganya watu. Check ratiba yao....

28-Aug J. Mosi DAR Ilala Jangwani
MOROGORO
30-Aug J. Tatu Mvomero Mikumi
DODOMA
31-Aug J. Nne Mtera
Kibakwe
01-Sep J. Tano Chilonwa
Kiteto
02-Sep Alhamisi Kondoa Kaskazini
MANYARA Babati Mjini
03-Sep Ijumaa Mbulu
Hanang
04-Sep J. Mosi SINGIDA Singida Mashariki

Manyoni Magharibi


Axactly mkuu Quinine,

mi nilituma vijana wangu kwenda kurekodi kabisa matukio muhimu baada ya kuona sredi hapa, na walipofika pale wamekuta kuna mkutano wa injili, sasa tusiwe tunatoa habari tu ambazo hazina uhakika....
 
Wewe ndiyo mwenye thread hii ulituambia umeona helkopita iki randa randa sasa unataka kutuambia nini, wao wako sahihi wanafuata ratiba wewe unataka kuwachanganya watu. Check ratiba yao....

28-Aug J. Mosi DAR Ilala Jangwani
MOROGORO
30-Aug J. Tatu Mvomero Mikumi
DODOMA
31-Aug J. Nne Mtera
Kibakwe
01-Sep J. Tano Chilonwa
Kiteto
02-Sep Alhamisi Kondoa Kaskazini
MANYARA Babati Mjini
03-Sep Ijumaa Mbulu
Hanang
04-Sep J. Mosi SINGIDA Singida Mashariki

Manyoni Magharibi





well, nilikuwa na base kwenye matangazo ya asubuhi ya loudspeakser ikiambatana na helkopta ya chadema iliyokuwa ikirandaranda juu ya mji huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom