minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
sasa ninapotuma hii post, helkopta ya dr WS inarandaranda juu ya jiji la Idodomya na majira ya saa 9 mchana dr WS atahutubia umati wa watanzania kupitia viwanja vya barafu vinavyopakana na uwanja wa jamhuri; uwanja uliojengwa na mlipa kodi wa tanzania na kuhodhiwa na ccm.
kwa mkuu yeyote atakayekuwepo pande za hapo Barafu atutaarifu zaidi.
28 oktoba, 2010-ufafanuzi: dk slaa amenisafisha!!!
post hii nilipoituma tarehe 1 septemba, 2010, wakuu wengi mlinilaumu kwa kutoleta ya uhakika kama michango mingine inayosomeka hapa chini. hatimaye jana dk ws amenisafisha kwa kuomba radhi kwa wakazi wa dodoma kwa kuja kujionesha tu siku hiyo angani, lakini akaishia kutofika kutokana na tatizo la kiufundi la helkopta yake. hivyo taarifa yangu ilikuwa sahihi!!!!!!!!!
kwa mkuu yeyote atakayekuwepo pande za hapo Barafu atutaarifu zaidi.
28 oktoba, 2010-ufafanuzi: dk slaa amenisafisha!!!
post hii nilipoituma tarehe 1 septemba, 2010, wakuu wengi mlinilaumu kwa kutoleta ya uhakika kama michango mingine inayosomeka hapa chini. hatimaye jana dk ws amenisafisha kwa kuomba radhi kwa wakazi wa dodoma kwa kuja kujionesha tu siku hiyo angani, lakini akaishia kutofika kutokana na tatizo la kiufundi la helkopta yake. hivyo taarifa yangu ilikuwa sahihi!!!!!!!!!