wanajamiiii kwa hili la rostam kujivua uongozi kwenye ccm mimi naona DR slaa anahitaji pongezi kubwa kwa kuchangia mgamba wamuone RM kua ni gamba la kujibandua ccm naomba maoni pls
Kweli wewe ndio umeshinda, inaonekana hata ukienda choo unamshukuru slaa maana unaamini bila yeye usingeweza pata haja kubwa.wanajamiiii kwa hili la rostam kujivua uongozi kwenye ccm mimi naona DR slaa anahitaji pongezi kubwa kwa kuchangia mgamba wamuone RM kua ni gamba la kujibandua ccm naomba maoni pls
vipi tena hapo, watu wanaweza elewa tofautiDr. Slaa ndiye rais wa nchi. Ningependa sana atiwe moyo asikate tamaa!
Kweli ukistajabu ya...utaona ya..Kweli wewe ndio umeshinda, inaonekana hata ukienda choo unamshukuru slaa maana unaamini bila yeye usingeweza pata haja kubwa.
Haihitaji tafakari hata kidogo kwa sababu hao watatu ni kikwazo kwa CCJ kuweka mgombea wa Urais 2015 ambaye ni SittaList of Shame ya Dr.Slaa ilikuwa na majina 11 akiwemo Rais Kikwete, kama kujivua gamba ni kumetokana na list ya Dr.Slaa then kwanini list ya Nape ina majina matatu tu?tafakari...
Unaweza kufafanua au ilmradi umeandika.hii mada haina mbele wala nyuma hata kwa mtu anayeelekea kuwa great thinker hawezi anzisha mada ya kijinga kama hii
Watu wengine na post zao dahKweli wewe ndio umeshinda, inaonekana hata ukienda choo unamshukuru slaa maana unaamini bila yeye usingeweza pata haja kubwa.
Haihitaji tafakari hata kidogo kwa sababu hao watatu ni kikwazo kwa CCJ kuweka mgombea wa Urais 2015 ambaye ni Sitta
kwakifupi unayo ongea yanaukweli kiasi fulani lakini ukiwa kama greater thinker haupaswi kuanzisha maada ambayo haina upeo mkubwa kama wawana JF lakini hongerawanajamiiii kwa hili la rostam kujivua uongozi kwenye ccm mimi naona DR slaa anahitaji pongezi kubwa kwa kuchangia mgamba wamuone RM kua ni gamba la kujibandua ccm naomba maoni pls
Sasa mkuu umeuliza Swali rahisi nimekujibu bado huelewi tu! DuhKwahiyo sio Dr.Slaa tena bali CCJ?
Nakushangaa na wewe umechangia. Unaweza kusema na ww ni Great Thinker? Mada ni nzuri, tatizo nyie mliotumwa na Magambaz, aliyewatuma hakufanya sorting.hii mada haina mbele wala nyuma hata kwa mtu anayeelekea kuwa great thinker hawezi anzisha mada ya kijinga kama hii