Elections 2010 Dr. Slaa anafiti kuwa prime minister sio president wa JMT

chamajani

JF-Expert Member
Sep 22, 2010
552
31
Nimefuatilia kwa umakini mkubwa(zaidi ya ule wa Chadema na Dr. Slaa) hususan katika Mdahalo wa ITV na Mkutano wa Kampeni wa Mwembe Yanga-Temeke na kugundua kuwa Dr. Slaa ana mchango mkubwa tu kwa Watanzania lakini akiwa kama Waziri Mkuu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Dr. Slaa yuko zaidi ki-operationalization kuliko ubunifu wa ki-Urais. Pia sajaona Macroecomic policy srategies ambazo zinahitajika kulitoa Taifa hili hapa zilipo kwenda hatua nyingine zaidi kuona tuhuma tuuuu-mara shimbo, mara kikwete, mara nani-Ya nini kutajataja majina pasipo na dhima. Hivi zile sera zake zimeenda wapi hata ageukie ishu za dini, shimbo, mishahara ya polisi laki mbili,duty free shop za majeshi zinatumika kuwaumiza wanajeshi wadogo-hivi ni vitu vya uchochezi ambavyo Kwa level yake hapaswi kuvitolea statements za namna hii. Achana navyo mzee, nenda kwenye point za kuwakomboa wa-Tz. Duh! Ni tumaini lililopotea hili jamani iliyobaki tukae chini tutafute lingine. Hivi ni nani anayeondosha kila tumaini la Watanzania kirahisi hivi? 1. Mrema=kapotea, 2. Lamwai=kapotea, 3. Lipumba=kapotea, 4. Slaa=huyoooooo anapotea tartiibu.
 
we hujitambui kweli eeeh hivi una ule ugonjwa wa kudondoka kama jeykey?
 
Mara ya mwisho ulipimwa akili lini na hospitali ipi,
 
Nimefuatilia kwa umakini mkubwa(zaidi ya ule wa Chadema na Dr. Slaa) hususan katika Mdahalo wa ITV na Mkutano wa Kampeni wa Mwembe Yanga-Temeke na kugundua kuwa Dr. Slaa ana mchango mkubwa tu kwa Watanzania lakini akiwa kama Waziri Mkuu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Dr. Slaa yuko zaidi ki-operationalization kuliko ubunifu wa ki-Urais. Pia sajaona Macroecomic policy srategies ambazo zinahitajika kulitoa Taifa hili hapa zilipo kwenda hatua nyingine zaidi kuona tuhuma tuuuu-mara shimbo, mara kikwete, mara nani-Ya nini kutajataja majina pasipo na dhima. Hivi zile sera zake zimeenda wapi hata ageukie ishu za dini, shimbo, mishahara ya polisi laki mbili,duty free shop za majeshi zinatumika kuwaumiza wanajeshi wadogo-hivi ni vitu vya uchochezi ambavyo Kwa level yake hapaswi kuvitolea statements za namna hii. Achana navyo mzee, nenda kwenye point za kuwakomboa wa-Tz. Duh! Ni tumaini lililopotea hili jamani iliyobaki tukae chini tutafute lingine. Hivi ni nani anayeondosha kila tumaini la Watanzania kirahisi hivi? 1. Mrema=kapotea, 2. Lamwai=kapotea, 3. Lipumba=kapotea, 4. Slaa=huyoooooo anapotea tartiibu.

Kikwete anafaa kua MC
 
Wewe jamaa una matatizo ya kichwa. Unamsikiliza Dr Slaa halafu hukusikia vision. Hujasikia vision ya afya bora kwa strategic thinking ya kuboresha nyumba. Hukusikia alivyosema vision ya nchi kujitegemea kwa kuboresha elimu kuanzia chekechea. Hujasikia vision yake ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kidemokrasia kwa kubadili katiba. Hujasikia akisema anataka uchumi uliokomaa na wa kujitegemea kwa kuanzia kujitegemea na recurrent expentiture.

JK anasema vision gani? Kilimo cha nyanya, kupandisha timu ya mpira ya Lindi kuwa daraja la kwanza, kununua vyandarua. Vitu very low. Ndiyo maana wenzio wanakuuliza kama kichwa chako kiko sawasawa.
 
Chamajani, nashukuru kwa kumkubali dr.SLAA kama kiongozi mkuu wa serikali i.e waziri mkuu. Si vbaya kuwaza ivo,inaonesha unavomkubali. Ila sisi tunatamani kumwona akiwa zaidi yawaziri mkuu,awe mkuu wa nchi. Ikumbukwe kuwa uliowataja apo juu hawajapotea,mh.MREMA yupo vunjo akifanya kazi ya serikali kudhoofisha upinzani,anapunguza kura za nd.John Mrema wa Chadema Vunjo. Nani asiyemjua shushushu uyu wa serikali? Ni sawa na akina Zawadi wa hapa Jamvini! Unasema ujasikia macroeconomic strategies_amekwambia nani tunamchagua rais slaa kuwa waziri wa uchumi? Au umetoka tuisheni ya sh.200 pale mchikchini ndo umekaa unakariri macroecomics ya pepa 2 fomu6 ndo ukataka kuonesha ujuzi,poor vision. Unasema asiwatetee wanajeshi kuwa ilo ni jambo dogo,ivi watz kwa mantiki yako ni akina nani? Au jeshi si wananchi,kama kuna wawekezaji tuambie bana!amuchelewi kubinafsisha! Mmeanza migodi,viwanda,reli,TBC1 sasa mnataka kubinafsisha jeshi kuwa si sehemu ya nchi? Wee huwezi ukawa ujalewa! Unamtaja mrema? Take care of such secret service,you may live behind bars!
 
Sio kuwa hakusikia hajui maana ya anachoandika maskini. Nadhani ni watu wa kukariri darasani, mtu kama huyu kwa article yake tu unawezakujua kuwa awezi kufanya kazi. Ametumia neno macroeconomic policies wakati haelewi maana yake. Naomba ajifunze kwanza ndio arejee hapa jukwaani kujadili issues.
 
Chamajani, nashukuru kwa kumkubali dr.SLAA kama kiongozi mkuu wa serikali i.e waziri mkuu. Si vbaya kuwaza ivo,inaonesha unavomkubali. Ila sisi tunatamani kumwona akiwa zaidi yawaziri mkuu,awe mkuu wa nchi. Ikumbukwe kuwa uliowataja apo juu hawajapotea,mh.MREMA yupo vunjo akifanya kazi ya serikali kudhoofisha upinzani,anapunguza kura za nd.John Mrema wa Chadema Vunjo. Nani asiyemjua shushushu uyu wa serikali? Ni sawa na akina Zawadi wa hapa Jamvini! Unasema ujasikia macroeconomic strategies_amekwambia nani tunamchagua rais slaa kuwa waziri wa uchumi? Au umetoka tuisheni ya sh.200 pale mchikchini ndo umekaa unakariri macroecomics ya pepa 2 fomu6 ndo ukataka kuonesha ujuzi,poor vision. Unasema asiwatetee wanajeshi kuwa ilo ni jambo dogo,ivi watz kwa mantiki yako ni akina nani? Au jeshi si wananchi,kama kuna wawekezaji tuambie bana!amuchelewi kubinafsisha! Mmeanza migodi,viwanda,reli,TBC1 sasa mnataka kubinafsisha jeshi kuwa si sehemu ya nchi? Wee huwezi ukawa ujalewa! Unamtaja mrema? Take care of such secret service,you may live behind bars!

Kama unampigia debe awe waziri wa Uchumi ndio kabisaaa hauwezi . Narudia tena kusema Dr. Slaa unamfaa zaidi Uwaziri Mkuu ili asimamie ujenzi wa Vituo vya afya kila kata, ujenzi wa zahanati kila kijiji, ujenzi wa maabara katika kila shule ya kata, ujenzi wa viwanja vya ndege vilivyoahidiwa na Dr. JMK, ujenzi wa flying-overs za huko katika Ki-jiji chenu cha Dar, na operation nyinginezo ambazo Dr. JMK amesha-anisha katika mpango wake mpana wa kuijenga hiyo Tanzania. Pliiiiiz DR. Kikwete usimuache huyu mzee katika post ya u-PM, Pinda mpigie debe japo pale visiwani ili awe Waziri Kiongozi Kivuli then ajue kama Zanzibar ni nchi au si Nchi.
 
Duh!this is another lunatic person!!unataka azungumzie nini zaidi ya matatizo halisi ya watanzania?????
 
Unanishangaza hayo yote uliyoyataja mbona yakitekelezwa tutakuwa na nakisi kubwa kwenye bajeti yetu na hivyo kuwa na fedha za elimu bure, afya bure , maji kila mahali n.k.................................Mwenzetu mbona wajichanganya hivyo? Yaani afae kuwa PM lakini asifae kuwa president,............you must be joking, aren't you?
 
Kama Dr. Slaa anafaa kuwa PM, anayefaa kuwa Rais ni nani sasa? au unamanisha ni yule:

1. Asiyejua kwa nini Tanzania ni masikini?

2. Anayecheka cheka jukwaani wakati nchi ipo pabaya kiuchumi?

3. Anayejiandaa kuwa rais miaka kumi kabla, na kutumia miaka mitano ya urais akijifunza urais?

4. Anayeweka historia ya kutumia mke na watoto ktk kampeni zake?

5. Aliyejaza maswahiba wake ktk nafasi nyeti kisha wanashindwa ku deliver?

6. Asiyeona aibu kujiita Doctor wakati hajasome kusomea?
 
Chamjani kama ukifikia hatua hiyo unamwelekeo mzuri zaidi wa kumkubali DR.Slaa, endelea mpaka siku ya kura halafu mwezeshe kwenye ulichoona ona wewe kuwa anafaa, hiyo kura yako umpe DR. Slaa.
 
Nimefuatilia kwa umakini mkubwa(zaidi ya ule wa Chadema na Dr. Slaa) hususan katika Mdahalo wa ITV na Mkutano wa Kampeni wa Mwembe Yanga-Temeke na kugundua kuwa Dr. Slaa ana mchango mkubwa tu kwa Watanzania lakini akiwa kama Waziri Mkuu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Dr. Slaa yuko zaidi ki-operationalization kuliko ubunifu wa ki-Urais. Pia sajaona Macroecomic policy srategies ambazo zinahitajika kulitoa Taifa hili hapa zilipo kwenda hatua nyingine zaidi kuona tuhuma tuuuu-mara shimbo, mara kikwete, mara nani-Ya nini kutajataja majina pasipo na dhima. Hivi zile sera zake zimeenda wapi hata ageukie ishu za dini, shimbo, mishahara ya polisi laki mbili,duty free shop za majeshi zinatumika kuwaumiza wanajeshi wadogo-hivi ni vitu vya uchochezi ambavyo Kwa level yake hapaswi kuvitolea statements za namna hii. Achana navyo mzee, nenda kwenye point za kuwakomboa wa-Tz. Duh! Ni tumaini lililopotea hili jamani iliyobaki tukae chini tutafute lingine. Hivi ni nani anayeondosha kila tumaini la Watanzania kirahisi hivi? 1. Mrema=kapotea, 2. Lamwai=kapotea, 3. Lipumba=kapotea, 4. Slaa=huyoooooo anapotea tartiibu.

Wale wale cheap politics, hivi nitamchaguaje Rais asiyejua kwanini nchi yake ni maskini ITS A SHAME, I PITY ON HIM
 
Nimefuatilia kwa umakini mkubwa(zaidi ya ule wa Chadema na Dr. Slaa) hususan katika Mdahalo wa ITV na Mkutano wa Kampeni wa Mwembe Yanga-Temeke na kugundua kuwa Dr. Slaa ana mchango mkubwa tu kwa Watanzania lakini akiwa kama Waziri Mkuu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Dr. Slaa yuko zaidi ki-operationalization kuliko ubunifu wa ki-Urais. Pia sajaona Macroecomic policy srategies ambazo zinahitajika kulitoa Taifa hili hapa zilipo kwenda hatua nyingine zaidi kuona tuhuma tuuuu-mara shimbo, mara kikwete, mara nani-Ya nini kutajataja majina pasipo na dhima. Hivi zile sera zake zimeenda wapi hata ageukie ishu za dini, shimbo, mishahara ya polisi laki mbili,duty free shop za majeshi zinatumika kuwaumiza wanajeshi wadogo-hivi ni vitu vya uchochezi ambavyo Kwa level yake hapaswi kuvitolea statements za namna hii. Achana navyo mzee, nenda kwenye point za kuwakomboa wa-Tz. Duh! Ni tumaini lililopotea hili jamani iliyobaki tukae chini tutafute lingine. Hivi ni nani anayeondosha kila tumaini la Watanzania kirahisi hivi? 1. Mrema=kapotea, 2. Lamwai=kapotea, 3. Lipumba=kapotea, 4. Slaa=huyoooooo anapotea tartiibu.

Waziri mkuu anaagizwa na Rais na kusimamia serikali katika shughuli za kila siku. Waziri mkuu makini hawezi kuwa chini ya Rais bogus. Cha msingi ni kumweka mtu makini kuwa Rais wa nchi.
 
Waziri mkuu anaagizwa na Rais na kusimamia serikali katika shughuli za kila siku. Waziri mkuu makini hawezi kuwa chini ya Rais bogus. Cha msingi ni kumweka mtu makini kuwa Rais wa nchi.

Dont be shortsighted!its a high time now Tanzanians to dare for changes...!!!we will be in position to judge Dr. Slaa after he has ruled like how we judge this "empty head one"(JK).........LETS DARE FOR CHANGES.
 
Back
Top Bottom