Nimefuatilia kwa umakini mkubwa(zaidi ya ule wa Chadema na Dr. Slaa) hususan katika Mdahalo wa ITV na Mkutano wa Kampeni wa Mwembe Yanga-Temeke na kugundua kuwa Dr. Slaa ana mchango mkubwa tu kwa Watanzania lakini akiwa kama Waziri Mkuu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Dr. Slaa yuko zaidi ki-operationalization kuliko ubunifu wa ki-Urais. Pia sajaona Macroecomic policy srategies ambazo zinahitajika kulitoa Taifa hili hapa zilipo kwenda hatua nyingine zaidi kuona tuhuma tuuuu-mara shimbo, mara kikwete, mara nani-Ya nini kutajataja majina pasipo na dhima. Hivi zile sera zake zimeenda wapi hata ageukie ishu za dini, shimbo, mishahara ya polisi laki mbili,duty free shop za majeshi zinatumika kuwaumiza wanajeshi wadogo-hivi ni vitu vya uchochezi ambavyo Kwa level yake hapaswi kuvitolea statements za namna hii. Achana navyo mzee, nenda kwenye point za kuwakomboa wa-Tz. Duh! Ni tumaini lililopotea hili jamani iliyobaki tukae chini tutafute lingine. Hivi ni nani anayeondosha kila tumaini la Watanzania kirahisi hivi? 1. Mrema=kapotea, 2. Lamwai=kapotea, 3. Lipumba=kapotea, 4. Slaa=huyoooooo anapotea tartiibu.