Dr Slaa akataa mjadala na Nape ITV badala na Kinana

Status
Not open for further replies.
Nimejaribu kufuatilia thread moja humu inayozungumzia Dr. Slaa kukwepa mdahalo na Nape.

Whether ni kweli au sio kweli swali la msingi wana jamvi la kujadili ni kwamba nani saizi ya kuweka mdahalo na DR. Slaa.

Ikumbukwe kwamba kipindi cha kampeni za uchaguzi 2010, chama tawala kiliogopa midahalo na hasa inayomhusisha huyu bwana. Baadaye waliamua kuanzisha wa kwao ambao ni waandishi wa habari tu na baadhi ya waalikwa waliohoji, kwahiyo ilikuwa tu kama press conference.

Kwa level ya influence aliyonayo Dr. Slaa linapokuja swala la mdahalo hawezi akajibishana na mtu yeyote yule.

Je nani wa kutoka chama tawala anaweza kuwa saizi ya Dr. Slaa kwenye mdahalo?
 
Ht me ningekua dkt slaa ningeondoka coz nape cyo level yake..na hajielew kabisaa cyo aliedanganya umrii..nways labda mnyika na nape na sio nape na slaa.ITV hawana adabuuu
 
dr.slaa incomparable na ssm yeyote IQ yake kubwa mno akili ndogo a ssm haiwezi kulinganishwa na akili kubwa ya cdm! mr. elephat poacher 2010 alitoka kamasi kwa dr. hivyo leo alijua kale yake imerudi akalala mbele,Nape size yake henche anatosha......! afu mwanangu rudi utubu ila usahau ukubwa wowote cd!
Mwenyekiti au katibu yeyote wa shina kutoka ccm anatosha.
 
Dr. Slaa kafanya jambo la maana sana, maana kujadili na Nape ni kujishushia hadhi na kumpromote Nape unnecessarily.

BTW kuna uwezekano mkumbwa ni mkakati wa CCM na ITV ili Nape akaongee nonsense/matusi ili ku-leta mjadala usio na tija kwa wananchi na kuacha kujadili mambo ya maana hasa M4C, Kinana weka mbali na Tembo, Bunge, nk.

Having said that, ... naomba Kinana baridi tafadhari....
 
Nimejaribu kufuatilia thread moja humu inayozungumzia Dr. Slaa kukwepa mdahalo na Nape.

Whether ni kweli au sio kweli swali la msingi wana jamvi la kujadili ni kwamba nani saizi ya kuweka mdahalo na DR. Slaa.

Ikumbukwe kwamba kipindi cha kampeni za uchaguzi 2010, chama tawala kiliogopa midahalo na hasa inayomhusisha huyu bwana. Baadaye waliamua kuanzisha wa kwao ambao ni waandishi wa habari tu na baadhi ya waalikwa waliohoji, kwahiyo ilikuwa tu kama press conference.

Kwa level ya influence aliyonayo Dr. Slaa linapokuja swala la mdahalo hawezi akajibishana na mtu yeyote yule.

Je nani wa kutoka chama tawala anaweza kuwa saizi ya Dr. Slaa kwenye mdahalo?

mimi kwa mtazamo wangu naona sadifa juma hamisi ambaye ni mwenyekiti wa uvccm wanaweza kwenda pamoja.
 
kwani aliwahi kushiriki mdaharo gani akaonesha ushupavu wa kujenga hoja zaidi ya kuita waandishi wa habari hapo kinondoni
 
Mkuu MWANA WA UFALME, naomba kukusahihisha kidogo, "Dr.Slaa hajakwepa mdahalo na Nape bali Kinana ndo kamkimbia Dr. Slaa na kuingia mitini'.

Mkuu, Hata ukichukua sekretariati nzima ya Chama Cha Matusi (CCM), uwezo wa kufikiria kwa ujumla wao bado ni mdogo saaaana kulinganisha na IQ ya Dr. Slaa.
 
Mwaliko ulikuwa ni Dr Slaa na Kinana lkn CCM wakamtuma Nape;Katibu wa chama makini hawezi kuongea na sisimizi mliyemtuma!Then unabandika maneno hapa yasiyo na msingi!! Nape apambanishwe na msemaji wa CHADEMA MB Mnyika na sio Dr Slaa!NAPE HANA HADHI YA KUKAA MEZA MOJA NA Dr Slaa kujadili hoja,huyu wenzake ni akina Mnyika na watamgaraza kwenye hoja!

Hata Mnyika mwenyewe haendani na Nape. Nape anaingia hata mara tano hv kwa Mnyika. Mnyika anajenga hoja na ndio maana wananchi wa ubungo walimchagua na wala hakuteuliwa kama alivyoteuliwa Nape.
 
Hahaahaha,

Dr ametoka nduki.

CHADEMA hawana ubavu wa kusimama na CCM.

Nape peke yake mnamuogopa je ingekuwa safu nzima ya CCM ingekuwaje?
walishakimbia midahalo mafisadi hawaiwezi CHADEMA, we kama hujui umuhimu wa ahadi nenda kalale kwao na hapo umeonesha uwezo wa chama chako msivyo jali ahadi na kuzingatia muda vilaza wakubwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom