Malipesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 310
- 32
Wale woote wanaotumiwa na serikali yetu kama secret service wahakikishe wanafanya kazi yao kwa uangalifu na tahadhari ya hali ya juu sana kwani watakapofanya kosa la kiufundi wajue nao ndo mwisho wao. Hawa watu hawako makini kabisa kwanza hawafanikiwi mipango yao, lakini pia mipango yao ingundulika kabla ya utekelezaji na mambo yao yanaharibika katikati ya utekelezaji ama baaba ya utekelezaji usiokuwa na mafanikio.