Hakika huyu ni Rais wa mioyo ya watu.
Hakika huyu ndio Rais wetu wa awamu ya tano
Hakika huyu ni Rais wa mioyo ya watu.
Mungu aendelee kukupa afya njema akika bila ww mie sipigi kura.
Kama walifikiri chadema ni chama cha msimu, sasa ndio kwanza kazi ndio kwanza inaanza IMBA UKOMBOZI OPERATION inamaliza nyanda za juu Rais anaanza magamba ngoma inogile mwaka huu.
Huyu ndio Rais wa Mioyo ya watu. Watu wanakimbilia kutangaza safari zao za ujinga, wenye akili kama Dr. anaendelea na kuimarisha chama kila corner. Go Dr. wewe mbele, sisi nyuma yako.
Mleta mada umetaja miji ya Vwawa, Tunduma, Sumbawanga na Katavi. Katavi ni jina la mkoa hakuna mji unaoitwa Katavi. Katavi kuna Mpanda na Inyonga.
Mungu amtangulie presidaa.
msafisha njia huyo, nafasi ya urais itaanzia ama kwa MBOYE au MBATIA[/QUOTE
Ukawa siyo maccm yanayotoana macho.