Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
naona tumekluwa na rais wa kuhudhuria dhifa za kitaifa ugenini kila wiki as if nyumbani ugali hakuna, simtofautishi na mtoto mdogo anayekataa kurudi kwao ili mradi kaona kwa jirani kuna chakula kitamu anachokipenda kimepikwa, hivyo hulazimika kusubiri hadi wapakue
mkuu, hasa hasa wali maharage.