kama hayapo yaja
Sasa mbona majuu wote wanavaa suruwali na hawana vitambi?
Kwa nini mwili wakusisimka!mie hilo la maji ukooooooooooo............mana nahisi mwili wa ni sisimka
Kwani maji mengi ikulu ni tatizo jamani?basi mm ntamshauri mwenzangu avae suruali sana ili maji yaongezeke
wewe unalo wowowo?
na unavaa suruali za kubana?
tapeli hilo hahahahahahaha,sasa kama unaishi maeneo ya baridi kali utavaa nini jamani:coffee:
Yule ni mtaalamu,yaweza kuwa kweli......:coffee:
Nitajicheki kesho ntakuja jibu.........hilo la maji.....l.o.l
Mjasiriamali tu.hivi wakulu huyu Ndodi ndo nani hasa?