daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 866
u want to know why? embu tafuta post ambayo ulichangia kitu kwa u-serious halafu at the same time uangalie na Avator yako!hahahaah!! Kwa nini sasa mkuu.
u want to know why? embu tafuta post ambayo ulichangia kitu kwa u-serious halafu at the same time uangalie na Avator yako!hahahaah!! Kwa nini sasa mkuu.
Anasem suruali za kubana.Hizi zipo kama c..ndom.kiwa mti ukibanwa unatatafuta namna ningine hali kadhalika mili wa mtu unapobanwa.Kwa wale waliokwisha funga mikono kwa kitu kigumu au PoP uone nini kinatokea.tapeli hilo hahahahahahaha,sasa kama unaishi maeneo ya baridi kali utavaa nini jamani:coffee:
u want to know why? embu tafuta post ambayo ulichangia kitu kwa u-serious halafu at the same time uangalie na Avator yako!
Hahaahahahah!!!!Hilo la maji sikubaliani nalo. Ingekuwa ni hivyo basi mi ningekuwa naogelea kila siku.