kweli babu kaleta mapinduzi kwenye secta ya dawa za asili inauma sana dr ndodi wanachofanya mitishamba hii hii imezagaa kila pembe lakini hiyo bei anazochaji du ni balaa ataakigawa bure mwaka aitoshi kurudisha garama alizo tuchuna kwa miaka kibao.
ila tusimlaumu sana tujilau wenyewe kwa kuangamizwa kwa kukosa kutafuta maarifa. heko babu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.