Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Ametangaza leo Star tv.
Nadhani ni baada ya kuzidiwa kete na babu.
Nadhani ni baada ya kuzidiwa kete na babu.
Wakuu, kwa namna ya pekee kabisa kapatikana "mfadhili". Mfadhili huyo kamwahidi dk ndodi kuwa atagharimia vipindi/masomo yake kwa njia ya tv na redio kwa muda wa wiki tano mfululizo kuanzia sasa. Kwa hali hiyo ndodi naye katoa ofa ndani ya kipindi hicho kutoa dawa zake BURE! na kuwa gharama itakuwa kwenye kiingilio tu. Naam naam, kwa hatua hii sasa nadhani si lazima tusongamane loliondo kwa babu maana ndg yetu huyu wa mango_tea bei yake nayo sasa ni rizonabo. Sosi ni ndodi mwenyeweeee! Nawasilisha.
Mwembechai,soma vizuri nimeitaja.hembu niambie anapatikana wapi hapa dar?
Posutaa mwene witu! Aisee mkombe, Ndodi amesema anaanza kutoa lini?Mwembechai,soma vizuri nimeitaja.
Alikwina?(Alikuwa wapi)Babu wa loliondo amekuwa kama Tigo kwenye makampuni ya simu,kwani Tigo ndio wamefanya makampuni mengine washushe viwango vyao,kwa hilo big up babu wa LoliondoAmetangaza leo Star tv.
Nadhani ni baada ya kuzidiwa kete na babu.
Posutaa mwene witu! Aisee mkombe, Ndodi amesema anaanza kutoa lini?