Dr Nchimbi ameunda Kamati sio Tume

Duh Mr. Kiranga, you dangerous of saying english. it is of you very very tough of the language. me look of the dictionary but, mh, i go empty ofcouse. you study your english of where? tell and me please!

Pray tell

Say word!
 
Imekaa vibaya ameamua kubadili maneno...na hata hoja zake pia hazitakuwa na uzito. Ndio hali halisi ilivyo.
 
Eti kamati ikachunguze nini kilikuwa chanzo cha kifo cha Mwangosi,vitu vingine unajuwa ni heri mtu akutukane ujuwe moja.Maana sasa this is more than that,hata kuidescribe siwezi.Nilijuwa tu wanataka kutoa kauli za kisiasa kutokana na matokeo ya kamati hizo.Wananchi wasikubali,kwanza ivunjiliwe mbali.Malengo yake hayana nia ya kupata haki kwa marehemu.

Mwaswali hayo yote,yanajibika hata na mtoto wa chekechea aliyeona picha na video,ama ambaye alikuwepo wakati wa tukio.

Eti chanzo cha kifo,wanataka chanzo gani?ama wanazungumzia kitu kilichopelekea mauti yake?wana taarifa za postmoterm?eti kamati ichunguze kama polisi walitumia nguvu,wasingetumia nguvu hiyo kamati angeunda?yanaudhi haya mambo jamani!

Nchimbi acha ujinga na futa huo ujinga wenu,stupid kabisa,mnadhani mnaongoza ngo'mbe?stupid kabisa nyie!
 
Werema uko wapi? nahisi kama ndie ulie mshauri dr yule Nchimbi!
 
Wizara imekiri wazir nchimbi ameunda kamati ya uchunguzi na sio tume kama ilivyoelezwa na mh TUNDU LISU hapo jana.

Source Itv habari 8:00pm

my take kama waziri anatuwekea kamati ya nini? Inakuwaje waziri ambaye ndio mwenye mapolisi ateuwe kamati imchunguze ufanisi wake? Tehe tehe tehe! Kazi ipo

Hapa wanatapatapa katika kujaribu kujirekebisha
 
Kamati inakua na Hadidu? Wanadhani hatukumsikia Dr. Nchimbi akisema kwa maneno yake alipokuwa akiongea na waandishi wa Habari? Haya ndio mambo ya Ikulu kukanusha Mkuu hakuongwa Suti
 
wakuu matokeo ya kamati yatatolewa kwa nani, na watasaidiaje kama kamati hii aina nguvu ya kisheria?
 
Wizara ya mambo ya ndani imetoa statement kwamba waziri Dr Emmanuel Nchimbi ameunda Kamati ya kuchunguza tukio la kifo cha Daudi Mwangosi na sio Tume.

source: habari za saa{ITV}
Hiyo ina maana kwamba Waziri wa Mambo ya Ndani hajui sheria za kuunda tume ya uchunguzi? Hakushauriwa na watu wake? Alichukua madaraka ya Rais? Maswali mengi kuliko majawabu.
 
Mh. Spika naomba kuiondoa hoja hii kwa sababu za dharura. aidha kama inawezekana isomwe mara ya pili na isisomwe mara ya kwanza
Wizara ya mambo ya ndani imetoa statement kwamba waziri Dr Emmanuel Nchimbi ameunda Kamati ya kuchunguza tukio la kifo cha Daudi Mwangosi na sio Tume.

source: habari za saa{ITV}
 
nakumbuka nikiwa mdogo nilifuatilia kupitia gazeti la Nation la Kenya sakata la muuaji ya Robert Ouko ... iliundwa independent judicial commission of inquiry na tume hii ilkwenda mbali na kukodisha independent private investigator kutoka Scotland Yard ya uingereza na kumpata mpelelezi wa kujitegemea aliyejulikana kama Robert Troon .... hapa ndipo palikuwa patamu ... jamaa alifanya upelelezi alipomaliza Kazi akawazuga akaipeleka doc yake England kwanza ndipo akarudi kuikabidhi kwenye tume ... ile tume ikapeleka report/document kwa mzee Daniel Toroitich Arap Moi .... Moi akachakachua taaarifa ya upelelezi ya Robert Troon ... jamaa akiwa ameshachukua fungu lake na amesharudi England akasikia taaarifa za upotoshwaji wa upelelezi wake .... dah Robert Troon akafunguka .... akamtaja Nicholous Biwott kuhusika
 
Kwa maana hiyo na zile zinazoundwa na Bunge ni magumashi??
kamati ya bunge ni moja ya muhimili of goverment, kama itaundwa inakuwa na nguvu ya kisheria, lakini kamati ya wizara ni lazima isiathiri the mother law, sasa tuangalie ni sheria gani inampa waziri nguvu ya kisheria itakayohusisha judicial?(check and balance) na hapa ndipo waziri alipokosea, kama ataweza awaombe radhi watz
 
Back
Top Bottom