Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
NAFIKIRI MWAKYEMBE ANA UWEZO WA KUJITETEA ZAIDI KULIKO WEWE na kwa vile hili lipo wazi basi tusubiri majibu yake na hapo tutakuwa na wasaa wa kutafakari uongo na ukweli wa hilo.
Hata hivyo hii ni Bongo chini ya Chukua Chako Mapema tutayasikia mengi.
Mkuu hapa sitaki kumtetea yeyote, na sisemi kuwa Mwakyembe hana hiyo kampuni ya kufua umeme. Ninachosema ni kuwa siamini kama ana personal interest kwenye issue hii. Hata kama ana kampuni ya kufua umeme siamini kama ilishiriki kwenye process ya kuomba tenda na kushindwa, siamini hata kama ilikuwa na uwezo huo. Kwa ufupi ni kuwa huyo Mwakyembe ninaemfahamu alikuwa mhadhiri wa chuo kikuu, na baada ya hapo akawa mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, inawezekana kuwa somewhere in between aliingia kwenye biasha za kuzalisha umeme, lakini haiwezekani kuwa amekuwa na kampuni kubwa kiasi cha kuifanya iweze hata kujaribu kusupply umeme Tanzania. Huo ni uongo ambao mtanzania yeyote mwenye akili anaweza kutambua.
By the way hapa tunaangalia vita dhiti ya ufisadi, na sio vita dhidi ya mafisadi. Let us not be distracted and make the whole battle look like it is between Mwakyembe Vs Lowassa/Rostam. It is more than that, hatuwezi kufanywa watoto. Soon tutaanza kusikia Slaa amefanya hivi, Seleli amefanya hivi, Kilango amefanya hivi. Kama Mwakyembe na yeye fisadi fact zitakuja tu na nyani atakomwa giladi as usual. Tanzania daima.
Last edited: