Labda katika press conference hiyo awaite vibaraka wake tu -- Muhingo, Balile, Manyerere na sarah Mossi -- na si wale upright reporters/editors wanaofahamika na wanaotoka magazeti yanayoheshimika.
Huo ameuweka kama ushahidi kwa kinachoelea sasaHoja yako ipo wapi sasa? Kama uzi umefungwa, iweje sasa uanzishe tena? Unajua kwa nini umefungwa?
Binafsi sijui kwanini umefungwa, kwa swali lako la unajua kwanini umefungwa definately una majibu ya kwanini umefungwa. Unaweza sasa kutueleza kwanini umefungwa?Hoja yako ipo wapi sasa? Kama uzi umefungwa, iweje sasa uanzishe tena? Unajua kwa nini umefungwa?
Tulia dogo mtumbuliwe, Mwakyembe ni mnafki.Hoja yako ipo wapi sasa? Kama uzi umefungwa, iweje sasa uanzishe tena? Unajua kwa nini umefungwa?
tulia wewe sindano ya punda ikuingie vizuri.Hoja yako ipo wapi sasa? Kama uzi umefungwa, iweje sasa uanzishe tena? Unajua kwa nini umefungwa?
Mkuu Daudi Mchambuzi huwa nakufuatilia sana humu jamvini,upo vizuri sana kwa hoja...Na sasa unajitambulisha kwa mwandiko wako mpya wa aina hii,nikiona tu ,najuwa Mchambuzi amepitatulia wewe sindano ya punda ikuingie vizuri.