Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
"...don't take a knife to a gunfight!"
...tatizo la wana siasa wetu wa bongo kelele miiiiiiiiiiiiiiiiingi, ...yule mtikila naye alimshikia bango Rostam Aziz, kumbe naye alikuwa kakunja Milioni 3 za huyo huyo Rostam kwa ajili ya repair ya nyumba yake, ...since then kimyaaaaaaaaaaaaaaa!
...Mh Mwakyembe naye tunampa heshima zote katika sakata la Richmond, lakini kidogo kidogo imani inaanza kunitoka kumbe naye ana 'kamradi' kake ka vijisenti kibao ka kuzalisha umeme huko Singida kwenye ngome ya Rostam Aziz? what is happening? conflict of interest?
"...dont start a gunfight which you know you can't win!"
Msituyumbishe hapa watanzania...maslahi ya taifa mbele, siyo matumbo yenu!