Kwani uyo sheikh alimfanya nn huyo jamaa mpk akabwatuka tupewe majibu mji una mengi huu😁😁
Kama sijakosea Kuna kipind fulani alizungumzika ishu ya Dr mwaka kulala na wanawake wake kitanda kimoja kwa wkati mmoja nakumbuka Tena ni kipind kile Dr mwaka alihojiwa na WA wake Zake aksema analala nao wote kwa pamoja,pia picha zipo kibao zikimuonyesha akilala na wake Zake kwa pamoja na kufanya tendo la ndoa ,sasa hao mashekhe hususani huyo shekhe alisema sio kitu kizuri akasema mambo mengi tu kwamba haifai sasa ndo bifu lilianza hapo..😂😂
 
Kama sijakosea Kuna kipind fulani alizungumzika ishu ya Dr mwaka kulala na wanawake wake kitanda kimoja kwa wkati mmoja nakumbuka Tena ni kipind kile Dr mwaka alihojiwa na WA wake Zake aksema analala nao wote kwa pamoja,pia picha zipo kibao zikimuonyesha akilala na wake Zake kwa pamoja na kufanya tendo la ndoa ,sasa hao mashekhe hususani huyo shekhe alisema sio kitu kizuri akasema mambo mengi tu kwamba haifai sasa ndo bifu lilianza hapo..😂😂
😁😁😁🤣 daah mji huu una mambo mwngi saNa aisee
 
Kama sijakosea Kuna kipind fulani alizungumzika ishu ya Dr mwaka kulala na wanawake wake kitanda kimoja kwa wkati mmoja nakumbuka Tena ni kipind kile Dr mwaka alihojiwa na WA wake Zake aksema analala nao wote kwa pamoja,pia picha zipo kibao zikimuonyesha akilala na wake Zake kwa pamoja na kufanya tendo la ndoa ,sasa hao mashekhe hususani huyo shekhe alisema sio kitu kizuri akasema mambo mengi tu kwamba haifai sasa ndo bifu lilianza hapo..😂😂
Basi ndio itakuwa sababu Dr Mwaka alikuwa kamuwekea kinyongo Sheikh wa mkoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom