Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Nadhani si wanasiasa, bali ni madaktari wenzake -- wana beef nae; sijui ni kwanini!
Hapa hakuna beef jamani, kakiuka sheria, mtu huwezi kuiba lafu utetewe eti mbona wezi wa jana hawajakamatwa.
I LIKE THIS KAMATA KAMATA.