Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Nadhani katika pilika pilika za kuwazomea akina Mramba watu hawakushtukia kuwa Dr masau alikuwa mmoja wa mahabusu ambao jana walipanda katika Karandinga kwenda mahabusu huko keko. Amepelekwa mahabusu baada ya kushindwa kutimiza sehemu ya masharti ya dhamana katika kesi aliyofunguliwa na NSSF kushindwa kuwasilisha michango ya wafanyakazi inayofikia sh milioni 70.
Masharti yenyewe ni; wadhamini wawili wa kusaini bondi ya sh milioni tamo-ameweza, kutotoka nje ta Dar bila ruhusa ya mahakama-haina shida na kupeleka pasi yake ya kusafiria-ameshindwa (sijui kwa nini). lakini anaweza kuachiwa wakati wowote atakapowasilisha pasi hiyo
Masharti yenyewe ni; wadhamini wawili wa kusaini bondi ya sh milioni tamo-ameweza, kutotoka nje ta Dar bila ruhusa ya mahakama-haina shida na kupeleka pasi yake ya kusafiria-ameshindwa (sijui kwa nini). lakini anaweza kuachiwa wakati wowote atakapowasilisha pasi hiyo
Last edited by a moderator: