Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
kama hivyo ndivyo basi Kombe alisitahiri kuuwawa na majasusi wenzake kwani alikiuka kiapo alichokula kwa hiari yake cha kutunza siri alizoziona akiwa mtumishi wa ujasusi. Hii inatokea duniani kote...... kumbukeni yule jasusi wa KGB wa urusi aliyepewa sumu baada ya kukimbilia uingereza na kuanza kuropoka. KGB wakamfutilia na kuingia kimya kimya kijasusi pale Uingereza na kumpa sumu iliyopelekea kifo chake na ilibaki kidogo uhusiano wa Urusi na Uingereza uingie matatani.
Mimi ninavyooona ukitoa siri za majasusi baada ya kuwatumikia au ukiwa bado ndani utahesabika kama msaliti uliyetumwa kwa mission maalum kwenda kuwachunguza na kwa maana hiyo unatumikia mabwana wawili kwa mpigo.... hakika hutabaki salama kwani majasusi hao hawawezi kujua una siri ngapi zingine ambazo hujazimwaga hadharani.
Hivi ni vimbwanga vya Wikileaks jamaa wakamsingizia kubaka mwanamke huko sweden na kama angekuwa jasusi mstaafu pengine kwa sasa angekuwa amekata roho.
Dr Kitine hakutoa siri za majasusi anazozijua channel Ten kamwe hawawezi kumuacha kama angewalipua majasusi wenzie .....kilichobaki kaingia kwenye mchezo wa siasa za maji taka huko ruksa kujilipua, kujitoa mhanga atamwaga upupu kadri atakavyoona roho yake itabaki nyeupe.
Mimi ninavyooona ukitoa siri za majasusi baada ya kuwatumikia au ukiwa bado ndani utahesabika kama msaliti uliyetumwa kwa mission maalum kwenda kuwachunguza na kwa maana hiyo unatumikia mabwana wawili kwa mpigo.... hakika hutabaki salama kwani majasusi hao hawawezi kujua una siri ngapi zingine ambazo hujazimwaga hadharani.
Hivi ni vimbwanga vya Wikileaks jamaa wakamsingizia kubaka mwanamke huko sweden na kama angekuwa jasusi mstaafu pengine kwa sasa angekuwa amekata roho.
Dr Kitine hakutoa siri za majasusi anazozijua channel Ten kamwe hawawezi kumuacha kama angewalipua majasusi wenzie .....kilichobaki kaingia kwenye mchezo wa siasa za maji taka huko ruksa kujilipua, kujitoa mhanga atamwaga upupu kadri atakavyoona roho yake itabaki nyeupe.
Mh! I doubt this, what about, Stan Katabalo, Gilman Rutihinda, Steven Kibona, Horace Kolimba, Imrani Kombe, Edward Sokoine, Koplo Rashid Lema e.t.c.
Inasemekana imran kombe alishugulikiwa na mzee mwenyewe baada ya wakuu wa intelejentia kumweleza anavujisha siri za serekali ya ccm kwa mzee wa kiraracha, ndiyo mana mzee wa kiraracha alikua kila kukicha anawalipua