Licha ya kwamba wote wawili ni Magamba lakini ndugu zangu wanyamwezi mnatia aibu sana kwa kukubali siasa zenu za CCM zimilikiwe na huyu Al Shabaab Hussein Bashe, huyu nitaendelea kumchukia kwa sababu yeye ndio source ya kumpoteza mpiganaji Lucas Selii.
Narudia tena Wanyamwezi mnatia aibu.
huyu Kigwangala ana mkwara mbuzi kuna kipindi alisema atawasomea dua mbaya waliomjeruhi Drr Ulimboka sijui hii saga iliishia wapi
wanatetea matumbo yaoHivi haya mambo yote yametokea wapi? Huyu Kigwa na Bashe wana matatizo gani? Naomba ufafanuzi unaoeleweka.
Kingwa anataka ajihudhuru ubunge gani tena, wakati mahakama imeshamvua ubunge,
Licha ya kwamba wote wawili ni Magamba lakini ndugu zangu wanyamwezi mnatia aibu sana kwa kukubali siasa zenu za CCM zimilikiwe na huyu Al Shabaab Hussein Bashe, huyu nitaendelea kumchukia kwa sababu yeye ndio source ya kumpoteza mpiganaji Lucas Selii.
Narudia tena Wanyamwezi mnatia aibu.
Uwezo wa kisiasa wa Dr.Kigwangwala ni mdogo sana, kutishia kujiuzuru ubunge ni utoto tena wakizamani sana,
Huo ujinga wa kitoto hata Magufuli aliwahi kujaribu mwisho wa siku watu walimcheka na akajiona mjinga,
Wanasiasa wakomavu ndani ya CCM hawatishii wanafanya mfano ni Lowassa, Rostam nk.
Dr.kigwangala hamuwezi bashe hata siku moja labda ajaribu kupambana na mke wake bashe mrs mbiki ila kawa bashe hamuwezi hata abebwe na kikwete mwenyewe..huyu said bagaile mwongo sana mwogope mtu anaefoji jina ni hatari sana huyu mutusi.
Pamoja na rushwa na ufisadi wa Bashe bado uwezo wa kisiasa wa Bashe ni mkubwa sana kumlinganisha na Dr.Kigwangala,
Embu jiulize inakuwaje Bashe aongoze kura za maoni mwaka 2010 aachwe kwa kudaiwa ni msomali, halafu Lukas Selelii aliyeshika nafasi ya pili aachwe bila sababu, kisha Dr.Kigwangala aliyekuwa wa tatu ambaye ilikuwa anadaiwa ni mrundi apewe nafasi?
Dr.Kigwangwala bado sana kisiasa, haya mambo ya kugawa vitumbua, chai na 2000, kutishia kwa bastola na sasa kutishia kujiuzuru ubunge ni utoto wa kisiasa kabisa.
Namshauri aanze kujifunza siasa akiona mambo magumu arudi tu hospitali kutibu wagonjwa.
Nauona mwisho wa Kigwangala, nauona live. Sijui nimsaidieje aokoke na hatari kubwa aliyoko ndani yake