Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
- Thread starter
- #21
Huyo dogo ni mpumbavu,angekua mjinga angegundua makosa yake kitambo!
Kumbe na wewe unajua kipimo cha upumbavu wa mtu!!!
Huyo dogo ni mpumbavu,angekua mjinga angegundua makosa yake kitambo!
Mi naona we ndo kilaza zaidi ya huyo dogo! khaaaLeo asubuhi nimefanikiwa kusikiliza Interview ya kijana Julius aliyeandika Verses/Rhymes ama mistari ya hip hop -bongofleva kwenye karatasi ya majibu mtihani wa Form 4- NECTA uliofanywa 2011.Kitendo cha Joyce Ndelichako (PhD) kwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kusoma kilichoandikwa,kwa maoni yangu nathubutu kuandika kuwa alikurupuka,haiingii akilini mwanafunzi kuandika mambo yale kwenye karatasi ya majibu halafu mtu mwenye taaluma ya juu (PhD) kama mama Joyce kushindwa kutafuta sababu za mwanafunzi yule kwa nini aliandika mambo yale tena kwa ujasiri wa kiwango kile.
Kijana Julius asubuhi ya leo katika kwenye kipindi cha Power Breakfast-Clouds fm, kwa kinywa chake mwenyewe amesema alifanya vile kama kufikisha ujumbe kwa Watanzania kuwa mfumo wa elimu haulengi kuwaelekeza vijana /watoto kwenye mambo wanayoyajua kwa ufasaa.Unapomwelekeza mtoto/mwanafunzi kwenye mambo anayoyapenda na kuyaamini kuwa yatamsaidia yeye kuweza kujiingiza katika shughuli halali za uzalishaji inasaidia kutumia rasilimali chache kumfikisha huyo mwanafunzi/mtoto mahala pazuri kwa manufaa yake na taifa kwa ujumla.Pia ameelezea kuwa yeye aligundua kuwa ana kipaji cha music ila hakupewa fursa hiyo kutokana na mfumo wa elimu uliopo,ujumbe aliotaka kufikisha kwa jamii ,ni kiasa jamii ithamini taaluma na fani mbalimbali kwa mrengo wa kuwakomboa wananchi/vijana wasio na ajira.
Julius ametoa mifano hata hawa kina Diamond tunaowaona leo ,wazizi wao walikuwa wanakimbizana nao wakiwalazimisha kwenda shule pasipo kutambua vipaji vyao.Hata wazazi/walezi wa baadhi ya wasanii hawa mara kwa mara wammekuwa wakihojiwa na kukiri kuwa vijana wao walikuwa hawapendi shule ila leo wanajivunia mafanikio yao.Kwenda shule ni jambo jema ila mfumo uendane na mahitaji/mazingira ya jamii husika.
My take;
Inashangaza sana kuwa Tanzania kuwa watu wana taaluma na wanaitwa Maprofesa,madaktari wa falsafa wameshindwa kuona matatizo ya ufumo wa elimu yetu katika kuwasaidia vijana/watoto na taifa kwa ujumla.Nimesikiliza pia single mpya ya Kijana Julius ameonyesha uwezo wa juu sana kama msanii chipukizi.Julius aliwasilisha kilio cha wengi kwa njia ile-hivyo naye ni Mwanaharakati, naamini itakuwa fundisho na somo kwa baraza la mitihani.
Leo asubuhi nimefanikiwa kusikiliza Interview ya kijana Julius aliyeandika Verses/Rhymes ama mistari ya hip hop -bongofleva kwenye karatasi ya majibu mtihani wa Form 4- NECTA uliofanywa 2011.Kitendo cha Joyce Ndelichako (PhD) kwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kusoma kilichoandikwa,kwa maoni yangu nathubutu kuandika kuwa alikurupuka,haiingii akilini mwanafunzi kuandika mambo yale kwenye karatasi ya majibu halafu mtu mwenye taaluma ya juu (PhD) kama mama Joyce kushindwa kutafuta sababu za mwanafunzi yule kwa nini aliandika mambo yale tena kwa ujasiri wa kiwango kile.
Kijana Julius asubuhi ya leo katika kwenye kipindi cha Power Breakfast-Clouds fm, kwa kinywa chake mwenyewe amesema alifanya vile kama kufikisha ujumbe kwa Watanzania kuwa mfumo wa elimu haulengi kuwaelekeza vijana /watoto kwenye mambo wanayoyajua kwa ufasaa.Unapomwelekeza mtoto/mwanafunzi kwenye mambo anayoyapenda na kuyaamini kuwa yatamsaidia yeye kuweza kujiingiza katika shughuli halali za uzalishaji inasaidia kutumia rasilimali chache kumfikisha huyo mwanafunzi/mtoto mahala pazuri kwa manufaa yake na taifa kwa ujumla.Pia ameelezea kuwa yeye aligundua kuwa ana kipaji cha music ila hakupewa fursa hiyo kutokana na mfumo wa elimu uliopo,ujumbe aliotaka kufikisha kwa jamii ,ni kiasa jamii ithamini taaluma na fani mbalimbali kwa mrengo wa kuwakomboa wananchi/vijana wasio na ajira.
Julius ametoa mifano hata hawa kina Diamond tunaowaona leo ,wazizi wao walikuwa wanakimbizana nao wakiwalazimisha kwenda shule pasipo kutambua vipaji vyao.Hata wazazi/walezi wa baadhi ya wasanii hawa mara kwa mara wammekuwa wakihojiwa na kukiri kuwa vijana wao walikuwa hawapendi shule ila leo wanajivunia mafanikio yao.Kwenda shule ni jambo jema ila mfumo uendane na mahitaji/mazingira ya jamii husika.
My take;
Inashangaza sana kuwa Tanzania kuwa watu wana taaluma na wanaitwa Maprofesa,madaktari wa falsafa wameshindwa kuona matatizo ya ufumo wa elimu yetu katika kuwasaidia vijana/watoto na taifa kwa ujumla.Nimesikiliza pia single mpya ya Kijana Julius ameonyesha uwezo wa juu sana kama msanii chipukizi.Julius aliwasilisha kilio cha wengi kwa njia ile-hivyo naye ni Mwanaharakati, naamini itakuwa fundisho na somo kwa baraza la mitihani.
[FONT=Verdana said:sawabho[/FONT];4222414]Hii tabia ya kuendekeza Uanaharakati kila sehemu italimaliza taifa !!! Yaani mtu atahiniwe somo lingine, atoe majibu ya somo lingine, halafu tuseme ana kipaji, kipaji gani hicho kisichojali muda na mahali ? Kila kitu kina utaratibu wake. Kama alikuwa na kipaji cha muziki alitakiwa kumweleza mzazi wake mapema kuwa anahitaji shule ya muziki, apelekwe Chuo cha Sanaa Bagamoyo. Hata hivyo, kuna umuhimu wa kumaliza elimu ya Msingi na Upili ili kumjengea mtoto Uelewa wa Taifa lake kuhusiana na mataifa mengine kabla ya kuanza kutafuta elimu ya fani kama vile kwenda VETA au Vyuo vya Sanaa.
[FONT=Verdana said:kanga[/FONT];4222414]Upumbavu kabisa na wote siyo huyo kijana hata Clouds wenyewe.Muziki gani pasipo na shule ya maana au ni producer gani anaingia studio bila kuwa na elimu bora kama sound engineering,electrical etc.Pia kumbukeni kuwa muziki ni taaluma inasomewa darasani kama ilvyoprofessional zingine.Na nzuri zaidi kama hajui na wote nyie ni kwamba shule nzuri zina option ya kuendelea na masomo ya kawaida na muziki ikiwa kama somo la ziada na unakuta shuleni wanafunzi wanaofanya option ya muziki wanatoa burudani kama kawaida utafikiri kuna mabingwa kama Michael Jackson vile.Muhimu ni kwamba shule zetu za serikali ziajiri walimu wa muziki na masomo mengine ya michezo ili kuwapa skills na kuendeleza viapaji vyao wanao taka, otherwise ni ujinga kutetea mawazo ya huyo mwanafunzi aliyeshindwa kujibu mitihani na kuibukia kwenye upumbavu wake wa kuandika mashairi.
[FONT=Verdana said:Mkirua[/FONT];4222414]Takataka (uchafu) ni kitu chochote kilichopo eneo lisiloruhusiwa/ husika....Swali lilimtaka aandike mashairi ya music?? Kwanini alipoteza mda na pesa za wazazi si angejiondoa mapema ili ayakarabati mashairi yake vizuri na sasa angekuwa na albam nzima!! Pili kuna somo la Music...na linatahiniwa na NECTA ...na ni kozi ambayo angeweza ku-opt.....ili aendeleze kipaji chake kitaalamu zaidi..
Siungi mkono hoja!
kwani hakuna?This should be a lesson to Tanzania, tujipange, we should create an education system where watoto wote wenye interest na shule na wasiokua nao, wenye high and Low IQ, Wenye na wasiokuwa na talents kwenye non-academic stuff , wote wabenefit na kuwe na mutual respect between ecah other katika field waliokuwepo.
Wachangiaji wengu humu so faa naona kama mnakurupuka, angalia
na wengine wengi mmeonyesha kuwa what the kid was saying. mi mwenyewe nimemsikiliza na from how he explained imeonesha uwezo wake mkubwa wakuchanganua mambo, that means IQ yake ni kubwa. but probably hauandaliwa maandalizi mazuri ya kusoma akajikuta anaamini kwamba yeye shule hawezi.
The point i think he made ni WANTANZANIA uelewa wetu ni mdogo sana, we do no like to think out of he box, Watoto wanachapwa, wanaitwa bogus, Bongo lala, na majina tofauti simply kwasababu hawapendi kuendelea na Form 1 mpka form 4 au hawajafaulu form 4, bt the Kid said Loud and clear, not all are ment kwa shule. isifanywe kuwa kumaliza form 4 au kutofaulu form 4 kama unamatatizo. because this is what is been going on, kwmba kama hujaenda shule au hujafaulu unaonekana kama huna matatizo fulani =, kama you are not key, and you wont be successful, bt its not true. Wakina diamond, Josph Kusaga, na wegine wengine wameonyesha kwamba they may have no degrees bt they know how to what they are good at the its best. As for Abroad we have all sorts of example from David Beckham, to Samuel Jackson, will smith, Jay Z, Fifty Cents, Samuel Etoo, Demba Ba, ohhhh we have wakina michael Dell, Bill Gates, Steve Jobs and Mark zuckerberg they are all High school and College(univesirty) drop outs. Na hawakulazimishwa kwenda shule when their parents walivyogunua hawana interest yakuendelea na shule bt they were supported at very early stages with their parents and it paid off.
This should be a lesson to Tanzania, tujipange, we should create an education system where watoto wote wenye interest na shule na wasiokua nao, wenye high and Low IQ, Wenye na wasiokuwa na talents kwenye non-academic stuff , wote wabenefit na kuwe na mutual respect between ecah other katika field waliokuwepo.
kweli kabisa. Hay mawazo yapo kwa wasanii wengi hasa wale ambao sasa wana-vijisenti. wengine ktk interview zao wanadiriki kusema elimu haina maana kabisa. wanasahau hata microphone na vyombo wanavyotumia vimetengenezwa na watu waliosomea. hata mziki wao unatengenezwa na mtu aliyesomea. Clouds Media nao wapo mstari wa mbele ktk kuonesha elimu haina maana.Nafkiri wanavyojiona wengi wao si-wanahabari kwa kusomea na mambo yanaenda wanaona hakuna haja ya kusoma.Wangemshauri dogo ajiendeleze ktk shule za sanaa kama anafikiri ndicho kitu anachokiweza na si kupromote ujinga.Upumbavu kabisa na wote siyo huyo kijana hata Clouds wenyewe.Muziki gani pasipo na shule ya maana au ni producer gani anaingia studio bila kuwa na elimu bora kama sound engineering,electrical etc.Pia kumbukeni kuwa muziki ni taaluma inasomewa darasani kama ilvyoprofessional zingine.Na nzuri zaidi kama hajui na wote nyie ni kwamba shule nzuri zina option ya kuendelea na masomo ya kawaida na muziki ikiwa kama somo la ziada na unakuta shuleni wanafunzi wanaofanya option ya muziki wanatoa burudani kama kawaida utafikiri kuna mabingwa kama Michael Jackson vile.Muhimu ni kwamba shule zetu za serikali ziajiri walimu wa muziki na masomo mengine ya michezo ili kuwapa skills na kuendeleza viapaji vyao wanao taka, otherwise ni ujinga kutetea mawazo ya huyo mwanafunzi aliyeshindwa kujibu mitihani na kuibukia kwenye upumbavu wake wa kuandika mashairi.
Sijui kwa nini una shindwa kufikiri?
Kwa hiyo unaona hapo palikuwa ni sehemu sahihi pa yeye kuandika huo ujumbe?
Angalia usije ukawa una tetea vitu visivyo na msingi kabisa na tumaini wewe ni mtu mzima!
Je kwenye huo mtihani kulikuwa na swali linalo huyu kutoa maoni kama hayo?
Jaribu kufikiri kwa kina kabla ya kupost.
Leo asubuhi nimefanikiwa kusikiliza Interview ya kijana Julius aliyeandika Verses/Rhymes ama mistari ya hip hop -bongofleva kwenye karatasi ya majibu mtihani wa Form 4- NECTA uliofanywa 2011.Kitendo cha Joyce Ndelichako (PhD) kwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kusoma kilichoandikwa,kwa maoni yangu nathubutu kuandika kuwa alikurupuka,haiingii akilini mwanafunzi kuandika mambo yale kwenye karatasi ya majibu halafu mtu mwenye taaluma ya juu (PhD) kama mama Joyce kushindwa kutafuta sababu za mwanafunzi yule kwa nini aliandika mambo yale tena kwa ujasiri wa kiwango kile.
Kijana Julius asubuhi ya leo katika kwenye kipindi cha Power Breakfast-Clouds fm, kwa kinywa chake mwenyewe amesema alifanya vile kama kufikisha ujumbe kwa Watanzania kuwa mfumo wa elimu haulengi kuwaelekeza vijana /watoto kwenye mambo wanayoyajua kwa ufasaa.Unapomwelekeza mtoto/mwanafunzi kwenye mambo anayoyapenda na kuyaamini kuwa yatamsaidia yeye kuweza kujiingiza katika shughuli halali za uzalishaji inasaidia kutumia rasilimali chache kumfikisha huyo mwanafunzi/mtoto mahala pazuri kwa manufaa yake na taifa kwa ujumla.Pia ameelezea kuwa yeye aligundua kuwa ana kipaji cha music ila hakupewa fursa hiyo kutokana na mfumo wa elimu uliopo,ujumbe aliotaka kufikisha kwa jamii ,ni kiasa jamii ithamini taaluma na fani mbalimbali kwa mrengo wa kuwakomboa wananchi/vijana wasio na ajira.
Julius ametoa mifano hata hawa kina Diamond tunaowaona leo ,wazizi wao walikuwa wanakimbizana nao wakiwalazimisha kwenda shule pasipo kutambua vipaji vyao.Hata wazazi/walezi wa baadhi ya wasanii hawa mara kwa mara wammekuwa wakihojiwa na kukiri kuwa vijana wao walikuwa hawapendi shule ila leo wanajivunia mafanikio yao.Kwenda shule ni jambo jema ila mfumo uendane na mahitaji/mazingira ya jamii husika.
My take;
Inashangaza sana kuwa Tanzania kuwa watu wana taaluma na wanaitwa Maprofesa,madaktari wa falsafa wameshindwa kuona matatizo ya ufumo wa elimu yetu katika kuwasaidia vijana/watoto na taifa kwa ujumla.Nimesikiliza pia single mpya ya Kijana Julius ameonyesha uwezo wa juu sana kama msanii chipukizi.Julius aliwasilisha kilio cha wengi kwa njia ile-hivyo naye ni Mwanaharakati, naamini itakuwa fundisho na somo kwa baraza la mitihani.
Wachangiaji wengu humu so faa naona kama mnakurupuka, angalia
na wengine wengi mmeonyesha kuwa what the kid was saying. mi mwenyewe nimemsikiliza na from how he explained imeonesha uwezo wake mkubwa wakuchanganua mambo, that means IQ yake ni kubwa. but probably hauandaliwa maandalizi mazuri ya kusoma akajikuta anaamini kwamba yeye shule hawezi.
The point i think he made ni WANTANZANIA uelewa wetu ni mdogo sana, we do no like to think out of he box, Watoto wanachapwa, wanaitwa bogus, Bongo lala, na majina tofauti simply kwasababu hawapendi kuendelea na Form 1 mpka form 4 au hawajafaulu form 4, bt the Kid said Loud and clear, not all are ment kwa shule. isifanywe kuwa kumaliza form 4 au kutofaulu form 4 kama unamatatizo. because this is what is been going on, kwmba kama hujaenda shule au hujafaulu unaonekana kama huna matatizo fulani =, kama you are not key, and you wont be successful, bt its not true. Wakina diamond, Josph Kusaga, na wegine wengine wameonyesha kwamba they may have no degrees bt they know how to what they are good at the its best. As for Abroad we have all sorts of example from David Beckham, to Samuel Jackson, will smith, Jay Z, Fifty Cents, Samuel Etoo, Demba Ba, ohhhh we have wakina michael Dell, Bill Gates, Steve Jobs and Mark zuckerberg they are all High school and College(univesirty) drop outs. Na hawakulazimishwa kwenda shule when their parents walivyogunua hawana interest yakuendelea na shule bt they were supported at very early stages with their parents and it paid off.
This should be a lesson to Tanzania, tujipange, we should create an education system where watoto wote wenye interest na shule na wasiokua nao, wenye high and Low IQ, Wenye na wasiokuwa na talents kwenye non-academic stuff , wote wabenefit na kuwe na mutual respect between ecah other katika field waliokuwepo.
Leo asubuhi nimefanikiwa kusikiliza Interview ya kijana Julius aliyeandika Verses/Rhymes ama mistari ya hip hop -bongofleva kwenye karatasi ya majibu mtihani wa Form 4- NECTA uliofanywa 2011.Kitendo cha Joyce Ndelichako (PhD) kwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kusoma kilichoandikwa,kwa maoni yangu nathubutu kuandika kuwa alikurupuka,haiingii akilini mwanafunzi kuandika mambo yale kwenye karatasi ya majibu halafu mtu mwenye taaluma ya juu (PhD) kama mama Joyce kushindwa kutafuta sababu za mwanafunzi yule kwa nini aliandika mambo yale tena kwa ujasiri wa kiwango kile.
Kijana Julius asubuhi ya leo katika kwenye kipindi cha Power Breakfast-Clouds fm, kwa kinywa chake mwenyewe amesema alifanya vile kama kufikisha ujumbe kwa Watanzania kuwa mfumo wa elimu haulengi kuwaelekeza vijana /watoto kwenye mambo wanayoyajua kwa ufasaa.Unapomwelekeza mtoto/mwanafunzi kwenye mambo anayoyapenda na kuyaamini kuwa yatamsaidia yeye kuweza kujiingiza katika shughuli halali za uzalishaji inasaidia kutumia rasilimali chache kumfikisha huyo mwanafunzi/mtoto mahala pazuri kwa manufaa yake na taifa kwa ujumla.Pia ameelezea kuwa yeye aligundua kuwa ana kipaji cha music ila hakupewa fursa hiyo kutokana na mfumo wa elimu uliopo,ujumbe aliotaka kufikisha kwa jamii ,ni kiasa jamii ithamini taaluma na fani mbalimbali kwa mrengo wa kuwakomboa wananchi/vijana wasio na ajira.
Julius ametoa mifano hata hawa kina Diamond tunaowaona leo ,wazizi wao walikuwa wanakimbizana nao wakiwalazimisha kwenda shule pasipo kutambua vipaji vyao.Hata wazazi/walezi wa baadhi ya wasanii hawa mara kwa mara wammekuwa wakihojiwa na kukiri kuwa vijana wao walikuwa hawapendi shule ila leo wanajivunia mafanikio yao.Kwenda shule ni jambo jema ila mfumo uendane na mahitaji/mazingira ya jamii husika.
My take;
Inashangaza sana kuwa Tanzania kuwa watu wana taaluma na wanaitwa Maprofesa,madaktari wa falsafa wameshindwa kuona matatizo ya ufumo wa elimu yetu katika kuwasaidia vijana/watoto na taifa kwa ujumla.Nimesikiliza pia single mpya ya Kijana Julius ameonyesha uwezo wa juu sana kama msanii chipukizi.Julius aliwasilisha kilio cha wengi kwa njia ile-hivyo naye ni Mwanaharakati, naamini itakuwa fundisho na somo kwa baraza la mitihani.
Takataka (uchafu) ni kitu chochote kilichopo eneo lisiloruhusiwa/ husika....Swali lilimtaka aandike mashairi ya music?? Kwanini alipoteza mda na pesa za wazazi si angejiondoa mapema ili ayakarabati mashairi yake vizuri na sasa angekuwa na albam nzima!! Pili kuna somo la Music...na linatahiniwa na NECTA ...na ni kozi ambayo angeweza ku-opt.....ili aendeleze kipaji chake kitaalamu zaidi..
Siungi mkono hoja!
Leo asubuhi nimefanikiwa kusikiliza Interview ya kijana Julius aliyeandika Verses/Rhymes ama mistari ya hip hop -bongofleva kwenye karatasi ya majibu mtihani wa Form 4- NECTA uliofanywa 2011.Kitendo cha Joyce Ndelichako (PhD) kwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kusoma kilichoandikwa,kwa maoni yangu nathubutu kuandika kuwa alikurupuka,haiingii akilini mwanafunzi kuandika mambo yale kwenye karatasi ya majibu halafu mtu mwenye taaluma ya juu (PhD) kama mama Joyce kushindwa kutafuta sababu za mwanafunzi yule kwa nini aliandika mambo yale tena kwa ujasiri wa kiwango kile.
Kijana Julius asubuhi ya leo katika kwenye kipindi cha Power Breakfast-Clouds fm, kwa kinywa chake mwenyewe amesema alifanya vile kama kufikisha ujumbe kwa Watanzania kuwa mfumo wa elimu haulengi kuwaelekeza vijana /watoto kwenye mambo wanayoyajua kwa ufasaa.Unapomwelekeza mtoto/mwanafunzi kwenye mambo anayoyapenda na kuyaamini kuwa yatamsaidia yeye kuweza kujiingiza katika shughuli halali za uzalishaji inasaidia kutumia rasilimali chache kumfikisha huyo mwanafunzi/mtoto mahala pazuri kwa manufaa yake na taifa kwa ujumla.Pia ameelezea kuwa yeye aligundua kuwa ana kipaji cha music ila hakupewa fursa hiyo kutokana na mfumo wa elimu uliopo,ujumbe aliotaka kufikisha kwa jamii ,ni kiasa jamii ithamini taaluma na fani mbalimbali kwa mrengo wa kuwakomboa wananchi/vijana wasio na ajira.
Julius ametoa mifano hata hawa kina Diamond tunaowaona leo ,wazizi wao walikuwa wanakimbizana nao wakiwalazimisha kwenda shule pasipo kutambua vipaji vyao.Hata wazazi/walezi wa baadhi ya wasanii hawa mara kwa mara wammekuwa wakihojiwa na kukiri kuwa vijana wao walikuwa hawapendi shule ila leo wanajivunia mafanikio yao.Kwenda shule ni jambo jema ila mfumo uendane na mahitaji/mazingira ya jamii husika.
My take;
Inashangaza sana kuwa Tanzania kuwa watu wana taaluma na wanaitwa Maprofesa,madaktari wa falsafa wameshindwa kuona matatizo ya ufumo wa elimu yetu katika kuwasaidia vijana/watoto na taifa kwa ujumla.Nimesikiliza pia single mpya ya Kijana Julius ameonyesha uwezo wa juu sana kama msanii chipukizi.Julius aliwasilisha kilio cha wengi kwa njia ile-hivyo naye ni Mwanaharakati, naamini itakuwa fundisho na somo kwa baraza la mitihani.
We uunge mkono hoja usiunge poa tu! cha msingi msg sent! we unadhani huu mfumo wa elimu uliopo unamuandaa mtoto kujipanga kimaisha!? hakuna kitu zaidi ni mambo ya kimawazo zaidi kuliko vitendo,yeye amepeleka ujumbe hata kama haukutakiwa kuwa pale wakati ule bali umefika.
think out of the box; usiwe mwepesi kuwa judgemental katika maswala ya namna hii; there is more to this than meets the eye!! stretch you gray matter a little further utaona kwamba there was a positive side to the boys actions ambacho kikifanyiwa kazi kinaweza kuwa na manufaa kwa taifa letu.
Upeo wako mdogo mbona hutoi mfano wa kina bill klinton,obama na watu wengine unashabikia ujinga.Basi acha kumpeleka mtoto wako shule aje kuwa kama kina fifty cent na wakata viuno kwenye majukwaa ya starehe.Study hard make money soft