Dr Hussein Mwinyi awaomba madaktari kusitisha mgomo

Ujinga ni kumwambia daktari serikali haina uwezo kisha ukamuongezea mbunge mshahara....
 
Kama serikali ilishirikiana na babu wa Loliondo kuua watu, kwenye hili ndo watakuwa na huruma? Watatunyonya kwenye kuwalipa kodi za fedha ya matumizi ya kawaida ya liserikali lao na watatuua vile vile, uroho wao na madaraja yao ya BOT kamwe hauwezi kuona mbali.
 
Huu ni ujiiinga na ufaaala wa serikali yetu, eti mbunge 6,000,000. dactari 950,000. Hivi wanajua kilaza yeyote yule, hata anayesinzia anaweza kuwa mbunge lakini sio dactari. Ngoja niache nisije pata Ban.
Kila jambo linakwenda kwa mizania maalum...km ni hivyo kuna fani muhimu zaidi kuliko udaktari lakini hazijishebedui kujiona wao ni zaidi...kilichopo ni mgawanyo tu wa kazi ambao kwa ujumla wake ndio unaofanya pakakalika na hata madaktari wakapata kutoa tiba....

Hebu imagine km pharmacists wakigoma kudispense dawa kwa walengwa cheti kilichoandikwa na daktari kitakuwa na thamani gani kwa mgonjwa....km manesi nao wakisema wao ndo muhimu zaidi kwa vile ndio wanaoshinda na wagonjwa na wakaamua kugoma kwa ulevi uleule wa madaktari...

Pprescriptions za madaktari zitakuwa na msaada gani kwa wagonjwa? Ndio maana dole gumba halina haki wala mamlaka ya kujiona ni bora zaidi katika mguu kuliko vidole vingine kwani kwa ufanisi wa mguu hutegemea umoja na utimilifu wa viungo vyote vinavyounda mguu.

Safari hii the so called Doctors wasinipitie karibu..nitawanasa vibao!
 
Kila jambo linakwenda kwa mizania maalum...km ni hivyo kuna fani muhimu zaidi kuliko udaktari lakini hazijishebedui kujiona wao ni zaidi...kilichopo ni mgawanyo tu wa kazi ambao kwa ujumla wake ndio unaofanya pakakalika na hata madaktari wakapata kutoa tiba.....

Hebu imagine km pharmacists wakigoma kudispense dawa kwa walengwa cheti kilichoandikwa na daktari kitakuwa na thamani gani kwa mgonjwa....km manesi nao wakisema wao ndo muhimu zaidi kwa vile ndio wanaoshinda na wagonjwa na wakaamua kugoma kwa ulevi uleule wa madaktari...

Pprescriptions za madaktari zitakuwa na msaada gani kwa wagonjwa? Ndio maana dole gumba halina haki wala mamlaka ya kujiona ni bora zaidi katika mguu kuliko vidole vingine kwani kwa ufanisi wa mguu hutegemea umoja na utimilifu wa viungo vyote vinavyounda mguu.

Safari hii the so called Doctors wasinipitie karibu..nitawanasa vibao!
mmmmmh nawewe unachemsha sasa kwani pharmacist asipodispense dawa kuna ambaye ataathirika?si daktar au nesi wapo nao wanaweza dispense coz wote wamesoma pharmacology...

Sema kwamba endapo pharmacist atagoma kutengeneza dawa mgonjwa ataponaje...nadhani wewe hauko kada ya afya so unatoa sentsi za kubahatisha.

DAKTARI ndo kila kitu na elimu yake alopewa anafit kufanya kaz ya nurse, mfamasia na ht zingine kdgoo
 
Kweli vilaza kama Mch Rwakatare, Munde, Vick Kamata, Nyangwine, Mkumba, Nchemba wanastahili Tsh 6,000,000 halafu Daktari anapata laki 9. Give me a break!!!!!!

Mkuu kuna na yule profesa wa maji yenye kina kirefu umemsahau.
 
Kitu kichoniudhi kuhusu hii serikali ya CCM ni kutoa blanket statements kwa kila jambo zito.
Sisi wananchi tuna akili tena huenda nyingi kuliko za hao viongozi. Serikali ituambie specifically ni madai gani waliokubaliana na madaktari na madai gani walioshindwa kukubaliana, halafu wananchi tutachambua kama ni Dkts ndiyo wako gready au ni serikali yenyewe imepuuzia madai ya Dkts. Hizi blanket statements does not serve the purpose.

I challange you Dr. Hussein Mwinyi tuambie hayo madai 5 mliyokubaliana na madai 5 mliyoshindwa kukubaliana. Tutajua pumba ni zipi na mchele ni upi.
 
kwa mtanzania mzalendo anejua mazingira ya tanzania halafu unashabikia madaktari kugoma ni sawa na kula kinyesi chako
 
ukizoea kulalama hutoacha kulalama hata upewe fedha kama maji ya bahari au mchanga wa baharini
 
SAM_2900.JPG
 
Ee Mungu, mwingi wa rehema na amani,nakuomba wakati wa mgomo wapaitie maradhi ya aibu hawa wote wanaoshabikia janga hili la mgomo wa madaktari. Wadhalilishe na kuwatia aibu ili iwe ni fundisho kwao....aaaaamen!!!!!!!!!
 
sasa kama mgomo wa madaktari una madhara kwa taifa kwa nini hawashuhulikiwi. Huwezi mlipa mbunge laki mbili kwa siku kwa kukaa bungeni na kusinzia alafu madaktari wasidai haki zao...Kuna siku nilipita muhimbili ile hali niliyoiona kule nikasema hawa watu wana haki ya kugoma...wamepuuzwa kwa mda mrefu sana
 
Too late kuwaomba madaktari kwa sasa wasigome. Kinachofuata kwa madaktari ni kufukuzwa kazi; maana hii ndo ngao pekee ya serikali yetu. Pia na Walimu nao wakigoma ngao ni hiyohiyo timua wote na kuajiri wanaoridhika na mshahara mdogo usioendana na mfumuko wa bei ulipo. Kazi ipo.....!
 
Kweli vilaza kama Mch Rwakatare, Munde, Vick Kamata, Nyangwine, Mkumba, Nchemba wanastahili Tsh 6,000,000 halafu Daktari anapata laki 9. Give me a break!!!!!!

Mbona umemuacha Lusinde? Au ndugu yako nini mkuu..!
 
Kweli vilaza kama Mch Rwakatare, Munde, Vick Kamata, Nyangwine, Mkumba, Nchemba wanastahili Tsh 6,000,000 halafu Daktari anapata laki 9. Give me a break!!!!!!
Umemsahau na Lusinde na Komba
 
Aisee madaktari tunaomba msigome jamani popote mlipo mi ni mmoja ninayeomba dua zangu msitishe huo mgomo chondechonde mwee!!!
 
Na wengine wanaona fani zao nimuhimu namalipo nikidogo wagome!sio ooo madaktari wakigoma, ooo madaktari wanajidai fani yao muhimu!

Gomeni na nyie watu waone madhara then mpewe haki yenu kama ndio suluhu!

Maongezi yamefanyika kati yamadaktari mpaka na baba Ridh!

Mwisho wa siku serikali inasema inaenda mahakamani! Kweli? Kwavile mahakama na mishahara ya mahakimu inapangwa serikalini eee? Kwahiyo wanauhakika namatokeo kama kwa Gobless Lema eee? Ok, waende then washinde madaktari waje watoe huduma na vinyongo!
 
Back
Top Bottom