Codon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2011
- 628
- 93
ukizoea kulalama hutoacha kulalama hata upewe fedha kama maji ya bahari au mchanga wa baharini
Kwahiyo madai ya madaktari sihaki?Ni ulafi?Sijakuelewa!
ukizoea kulalama hutoacha kulalama hata upewe fedha kama maji ya bahari au mchanga wa baharini
Mbona kaka unaongea uongo! Nani kakwambia kuwa Hosen Mwinyi kuwa Ni Mzenji ???
Hata angekuwa hapana tatzo kwani Wizara ya ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, au hujui kama Tanganyika haipo?
Tuitafute Tanganyika ndio tuanze kujidai.
Kweli vilaza kama Mch Rwakatare, Munde, Vick Kamata, Nyangwine, Mkumba, Nchemba wanastahili Tsh 6,000,000 halafu Daktari anapata laki 9. Give me a break!!!!!!
Alicho ongea Waziri wa Afya ni kweli,Madhara ya Mgomo wa madaktari ni mkubwa sana kuliko tudhaniavyo.
Amewaomba wasitishe mgomo.
Mambo ambayo wameshindwa kuyafikia muafaka serikali ipo teali pia kuzungumza Nao tena.
Mbona kaka unaongea uongo! Nani kakwambia kuwa Hosen Mwinyi kuwa Ni Mzenji ???
Hata angekuwa hapana tatzo kwani Wizara ya ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, au hujui kama Tanganyika haipo?
Tuitafute Tanganyika ndio tuanze kujidai.