Ndio hayo maajabu ya huyu mama alikuwa mzuri sana kwa sasa amwshikiwa akili zake na wapinzani. Yaani Tamko tu analivalia njuga. Lakine kitendo cha polisi kuuawa kawa kimya sina imani nae tena!Huyo mama mbona walivyouliwa police hajasema neno lolote...
ACHA UJINGA NA WEWE NA HATA UPUUZI aliousema huyo mama kijo Bi SimbaHata useme kwa herufi kubwa, ongeza na font kabisa ulichoandika hapo ni ujinga mtupu.
Kufiwa na yeyote yule sio sababu ya kuchukua harsh decisioms kama zile ambazo zitaishia kuua watu wasio na hatia, mahakama ipo kushughulikia watu kama hao, we ndugu yako auliwe na jambazi, alafu polisi wamkamate mtu yeyote ambaye hawana uhakika kama alihusika, wakampiga bila uchunguzi kwanza na kumuua ikaja gundulika hakuhusika, moyo wako utaridhika?
Hakuna chochote kinachojustify upumbavu, hata uje na mifano milioni. Siku hizi kila kiongozi mbabe, na tatizo wengi vila,za, mtakaoumia ni nyie wenyewe, yeye kila,za atakua anasuuza macho tu na kuuza headlines kwenye media.
Kumbuka hao wote wanaobeza hizi kauli wamelelewa na shetani..Usiombe ndo ndugu yako au kaka yako au baba yako ndo ameuwawa na majambazi sizani kama utalipinga hili la Makonda
Wangetoa maneno gani zaidi ya Pole kwa Askari. Hivi ukimlaani Jambazi kwa mauaji si sawa na kumpigia mbuzi gitaa. Jambazi kazi yake ni kuua na anakuwa mtu ambaye ameshatokwa na ubinadamu. Lakini askari polisi kazi yake ni kulinda raioa pamoja na mali zake. Pia kumbuka sio kazi ya polisi kuua bali ni kushitaki mahakamani na mahakama ndio itatoa hukumu kulingana na uthibitisho wa makosa. Hebu imagine majambazi yaliyoua yakawa yanafukuzwa na kuingia nyumbani kwako halafu polisi waseme hii nyumba wote ni majambazo tupige risasi tuue wote. Je na wewe utakuwa jambazi?Huyo mama mbona walivyouliwa police hajasema neno lolote...
Kweli kabisa,Usiombe ndo ndugu yako au kaka yako au baba yako ndo ameuwawa na majambazi sizani kama utalipinga hili la Makonda
Unaelewa vizuri kazi ya mashirika ya kutetea haki za binaadamu?.alafu unalinganishaje hayo matukio ilhali hayafanani?.mauwaji ya binaadamu (yoyote yule)ni tafauti na kutoa amri/kuitekeleza amri ya kupigwa/kugongwa mtuhumiwa wa uhalifu kwasababu si kila mtuhumiwa huwa na hatia.na ndio maana serikali na dunia nzima ikaamua kuweka kitu kinaitwa "due process",kwamba mtuhumiwa wa kosa lolote hatakiwi kuadhibiwa kabla ya kupelekwa mahakamani tuhuma kuthibitika na kuhukumiwa kwa kufuata katibaYaani haki za binadamu kwa majambazi. Ndugu waliouawa nani anawapa haki zao?
Usiombe ndo ndugu yako au kaka yako au baba yako ndo ameuwawa na majambazi sizani kama utalipinga hili la Makonda
Watetezi wa haki za binadamu wnatetea raia wanaonyimwa haki...wasioweza kujitetea kwa silaha au kwa maneno....Raia wakiunda kundi na kubeba silaha kuanza mapigano hawatetewi na hawa wanaharakati...polisi ni kundi lenye nguvu..Huyo mama mbona walivyouliwa police hajasema neno lolote...
Huyo mama mbona walivyouliwa police hajasema neno lolote...
Usiombe ndo ndugu yako au kaka yako au baba yako ndo ameuwawa na majambazi sizani kama utalipinga hili la Makonda
mama Helen anahusika na haki za binadamu. sasa polisi kumpiga raia na kumfanyia vitendo vyovyote vinavyokiuka katiba na haki za binadamu lazima vikemewe kwa nguvu zote. lakini tukio la ujambazi halihusiani na tumevya haki za binadamu.Huyo mama mbona walivyouliwa police hajasema neno lolote...
Nani Sasa huyo mama? Jina lake na anaishi wapi?huyu mama hata u-PM ungemfaa sana, sema hapendi tu...
wise, brilliant, intelligent, shrewd and tough.
Makonda alionyesha jazba kwenye msiba wa askari waliouawa na anaweza kusamehewa kwa jazba zile kutokana na uzito wa msiba ule lakini mbona wao hawakuenyesha hisia zozote zile za kulani kitendo kile cha kinyama?????? Au ndiyo hivyo tena 'Mkuki kwa binadam mchungu?'