Kitine DG wa zamani wa TISS alichafuliwa sana na Membe
Mimi ni mchumi, nimesomea kwa muda mrefu ikiwemo chuo kikuu cha Dar es Salaam shahada ya kwanza na ya pili ya uchumi, nikaa zaidi ya miaka kumi Canada na kupata shahada ya tatu na nne.
Hahaha, hapa anamwambia kiujanja Abdallah majura kuwa anafahamu siri zake. Anyway, huyu nae si alijiuzuru uwaziri kwa kashfa ya kufoj na kuiibia serikali pesa za matibabu ya mkewe. Usafi anaosisitiza ni upi labda?nime ipenda hii
Jibu: Uzuri wa ushushu, na mimi nakufahamu japo hatujaonana ndg Majura. Uongozi wa mwalimu bado uko relevant kwenye uongozi wa leo.
tick.. tock.. tick.. tock..
[/QUOTE