Salaam,nimeskia katika Radio moja ikisoma Magazeti kuwa Tahariri inamlaani Dr(mb)Hamis Kigwangala kugomesha madaktari wenzake,
Napenda mnisaidie kujua ni sawa kwake kama Mbunge kfanya hivyo?au kama Daktari ni sawa kuacha wagonjwa wafe kwa ajili ya posho?naomba sana kujua kutoka kwenu....
Hapo hajagoma kama Mbunge. Amegoma kwasababu na yeye ni daktari. Kama tunawa-support madaktari wengine kugoma ili walipwe stahili zao kwanini tuna question kugoma kwa Dr Kigwangala? Anajua kwamba ipo siku anaweza kuacha ubunge akarudi kwenye fani yake.