Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Huyu jamaa ni Osama kinoma lakini kitu cha kushangaza ni kwamba ingawa ni mwenyekiti wa benki ya Barclays bado anaficha pesa uchagoni kama walivyomuibia nyumbani kwake siku chache zilizopita!! Ingekuwa enzi za utawala bora asingekuwa hapo Nssf mpaka leo hii; ashukuru udini ndio unatawala serikali ya Kikwete!!
nimekitafuta kitufe cha senksi sijakiona. Umeongea "pwenti" tupu mkuu