Sam Seaborn
Member
- Aug 20, 2011
- 98
- 39
Si mulianza wenyewe?
Mshaanza kugombana wenyewe kwa wenyewe?
Si mulianza wenyewe?
We kweli chizi, Mbona Hyo Dr. Dau mwenyewe kateuliwa na mkapa (mkristo) kurepale nafasi ya Edward (mkristo).
Wakristo badilikeni hii si nchi yenu pekee ni yetu sote. Najua mnajidaganya kuwa nasasa mtafanya kama kipidi cha Nyerere, hiyo sahau sasa kila moja anajua kuwa hiki ni kijiko na lile ni beleshi.
Miaka karibia 50 mko madarakani, hamna chochote cha maani mlichofanya zaidi yakuishia kuiba na kwenda kulewa bar. UJINGA.