Kaka we umepinda si kidogo aisee.........
Nimeipenda comment ya utamu wa shangingi ila kitufe cha like sijakiona
Kaka we umepinda si kidogo aisee.........
Ok Zomba, lets say upo right. sasa tupe faida ya shangingi over CT scan kwa waTz.
Katibu wa jumuiya ya madaktari nchini ameweka wazi kuwa bei ya mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya kununulia shangingi moja.Alisema kama serikali ingekuwa na nia ya kununua mashine hiyo isingeshindwa. kwa habari zaidi soma gazeti la mwananchi la leo. Binafsi habari hii imichefua na kunisikitisha kuona ni jinsi gani serikali yete inavyoendekeza anasa wakati inashindwa kutoa huduma za msingi kwa watu wake.Mashine ya CT scan pale muhimbili kwa mujibu wa vyombo vya habari imekuwa mbovu kwa muda wa miezi saba ila serikali inapiga dana dana kuitengeneza na matengenezo yake ni kama milioni mbili hivi kama sikosei.Kama nimekosei hiyo gharama ya matengenezo mwenye uhakika atujuze. Mbali na mashine hiyo kuna hospitali zingine hapa nchini hazina hata x-ray machine.Kama uliangalia taarifa ya habari ya ITV juzi usiku tatizo la kukosekana kwa mashine ya x-ray liliripotiwa ktk hospitali ya serikali mkoani Tanga ambapo mtu aliepata ajali alishindwa kuhudumiwa kutukona na kukosekana kwa mashine hiyo. Nasema hii ni aibu kwa serikali na inabidi kwenye katiba mpya tupitishe uamuzi wa kutaka viongozi wa serikali nao watibiwe hapa nchini na ipige marufuku viongozi kutibiwa nje ya nchi.Labda hii itasaidia kuondoa dhuluma hii. Sasa madaktari wanapogoma nani wa kulaumiwa kama sio serikali?Hivi haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania!
Mkuu haujapanda shangingi ukaona raha yake, hata hizi ndege za precisian hazina raha kama mashangingi
Niliwahi pitia taarifa moja toka Wiizara ya Afya kwa mwaka 2010 iliyoonyesha kuwa, kati ya X-ray machines 350 zilizokuwepo nchini mwaka huo, 75 zilikuwa mbovu (21.4 %), na kati ya utra Sound machine 251 zilizokuwepo nchini mwaka huo, 8 zilikuwa mbovu (3.2 %). Vilevile kati ya viti 477 vya kutumia kutumia kutibia meno, 77 vililikuwa vibovu (16.1 %), na kati ya X ray machine 58 za kuchunguzia meno, 17 zilikuwa mbovu (29.3 %). Takwimu hizi hazioonyesh dalili njema kuhusu upatikanaji wa huduma za vipimo vya huduma za afya kwa watanzania. Kwa mwaka jana, na huu sijui kama ndiyo hoi zaidi au nafuu maradufu. Nendeni Wizara ya Afya mukawaulize, au tembelea website yao (Ministry of Health & Social Welfare) labda waweza ambulia kitu, (mimi nimejaribu nimeshindwa kupitia simu yangu ya kizamani).
Nani alioziharibu? Kuna mashine za kupima virusi vya vvu zilipelekwa Tumbi hospital, na zikamiminiwa maji ili ziharibike eti kwa sababu kwa nini kachaguliwa fulani ndio akafundishwe hizo mashine. Uliza hili Tumbi, linajulikana.
Nani alioziharibu?
Kuna mashine za kupima virusi vya vvu zilipelekwa Tumbi hospital, na zikamiminiwa maji ili ziharibike eti kwa sababu kwanini kachaguliwa fulani ndio akafundishwe hizo mashine. Uliza hili Tumbi, linajulikana.
Sasa kama vifaa vinaletwa na haohao wanafanyiana roho mbaya mpaka kuviharibu eti kwa sababu mtu hakuchaguliwa yeye kusomeshwa hizo mashine, halafu mulaumu Kikwete. Wacheni hizo.
Kikwete kwenye sekta ya Afya kafanya kuliko yeyote wa kabla yake na takwimu za kungezeka kwa life span yetu kwa miaka 5 kwa kipindi chake tu kinathibitisha hilo. Wacheni kuwa wanafik.
Huyu daktari kaja hapa anadanganya na nyinyi mnakubali tu, hamchukui hata dakika moja kuuthamini ukweli.
Nimewaletea data hapo za mashine za CT scan, zinaonesha kwa uchahe kama hauna $ 1,000,000/= (million moja) huwezi kupata CT scan ikafanya kazi ipasavyo, labda uinunuwe uje kuiweka urembo.
Bei ya gari aina ya Landcruiser V8 model ya kawaida ya mwaka 2012 kabla ya usafirishaji na kodi zote ni £62,285 au US 97,196 au Tshs 151,740,000/= kwa exchange rate ya BOT leo. Kumbuka hii ni model ya kawaida na hizi bei ni kabla ya usafirishaji na kodi zote. Ukiagiza special utashangaa bei yake!!!
piga na hesabu la gharama ya safari zote za J.k tujue tungekua na mashine ngapiNani alioziharibu? Kuna mashine za kupima virusi vya vvu zilipelekwa Tumbi hospital, na zikamiminiwa maji ili ziharibike eti kwa sababu kwanini kachaguliwa fulani ndio akafundishwe hizo mashine. Uliza hili Tumbi, linajulikana. Sasa kama vifaa vinaletwa na haohao wanafanyiana roho mbaya mpaka kuviharibu eti kwa sababu mtu hakuchaguliwa yeye kusomeshwa hizo mashine, halafu mulaumu Kikwete. Wacheni hizo. Kikwete kwenye sekta ya Afya kafanya kuliko yeyote wa kabla yake na takwimu za kungezeka kwa life span yetu kwa miaka 5 kwa kipindi chake tu kinathibitisha hilo. Wacheni kuwa wanafik. Huyu daktari kaja hapa anadanganya na nyinyi mnakubali tu, hamchukui hata dakika moja kuuthamini ukweli. Nimewaletea data hapo za mashine za CT scan, zinaonesha kwa uchahe kama hauna $ 1,000,000/= (million moja) huwezi kupata CT scan ikafanya kazi ipasavyo, labda uinunuwe uje kuiweka urembo.
Hapo bado hujapata CT scan, wachilia mbali chumba, utaalaam (mafunzo), "consumables".
Huyo dokta alikuwa anaota.
Hapo bado hujapata CT scan, wachilia mbali chumba, utaalaam (mafunzo), "consumables".
Huyo dokta alikuwa anaota.
Hapo bado hujapata CT scan, wachilia mbali chumba, utaalaam (mafunzo), "consumables".
Huyo dokta alikuwa anaota.
zomba, kama nimekupata vizuri ni kwamba unasema baba aendelee kula hotelini kwa sababu jiko ni bovu!
Kama taifa ni lini tutaacha kuhemea kwa wanaume wengine waliowekeza kwenye CT-Scan machine na makorombwezo mengine? Omba omba kuanzia vyandarua mpaka vipimo/matibabu! Lakini ni kweli Tanzania haina uwezo huo? Ulishaona magari wanayotumia viongozi wa India?
Katibu wa jumuiya ya madaktari nchini ameweka wazi kuwa bei ya mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya kununulia shangingi moja.Alisema kama serikali ingekuwa na nia ya kununua mashine hiyo isingeshindwa. kwa habari zaidi soma gazeti la mwananchi la leo. Binafsi habari hii imichefua na kunisikitisha kuona ni jinsi gani serikali yete inavyoendekeza anasa wakati inashindwa kutoa huduma za msingi kwa watu wake.Mashine ya CT scan pale muhimbili kwa mujibu wa vyombo vya habari imekuwa mbovu kwa muda wa miezi saba ila serikali inapiga dana dana kuitengeneza na matengenezo yake ni kama milioni mbili hivi kama sikosei.Kama nimekosei hiyo gharama ya matengenezo mwenye uhakika atujuze. Mbali na mashine hiyo kuna hospitali zingine hapa nchini hazina hata x-ray machine.Kama uliangalia taarifa ya habari ya ITV juzi usiku tatizo la kukosekana kwa mashine ya x-ray liliripotiwa ktk hospitali ya serikali mkoani Tanga ambapo mtu aliepata ajali alishindwa kuhudumiwa kutukona na kukosekana kwa mashine hiyo. Nasema hii ni aibu kwa serikali na inabidi kwenye katiba mpya tupitishe uamuzi wa kutaka viongozi wa serikali nao watibiwe hapa nchini na ipige marufuku viongozi kutibiwa nje ya nchi.Labda hii itasaidia kuondoa dhuluma hii. Sasa madaktari wanapogoma nani wa kulaumiwa kama sio serikali?Hivi haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania!
piga na hesabu la gharama ya safari zote za J.k tujue tungekua na mashine ngapi
Mkuu,nani kakwambia serikali hii ipo kwa ajili ya wananchi?? hao viongozi wapo kwa ajili ya chama chao,wao wenyewe na watoto wao!